Naona taratibu sasa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said anaanza Kuwafanya wana Yanga SC wote ni Mazuzu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,922
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said katika Mkutano wake na wana Yanga SC katika Mikutano yao ya Kikatiba aliwahi kusema kuwa Udhamini wa Jezi wa GSM kwa Yanga SC umeipatia Klabu hiyo Tsh Bilioni Nane ( 8 ) kwa Mwaka na Mazuzu kama Kawaida yao Wakamshangilia na Kushangilia.

Jana tu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said bila ya Aibu na huku akisahau kuwa japo huko Yanga SC kuna Mazuzu wengi ila huku kwa wana Simba SC tupo Wanamichezo wenye Akili Kubwa na kamwe hatuko tayari Kukubali Kudanganywa kwa Usanii wake wa Mchana Kweupe.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jana kasema kuwa Kampuni ya GSM ambao ndiyo Kit Sponsors wa Jezi za Yanga SC wameingia Mkataba wa Jezi na Yanga SC wa Tsh Bilioni Kumi ( 10 ) kwa miaka Mitano huku kila mwaka Yanga SC ( Mazuzu FC ) wakipata Tsh Bilioni Mbili ( 2 ) tu tofauti na Tsh Bilioni Nane ( 8 ) ambazo Yeye Mwenyewe akiwa ni Muakilishi wa GSM ( kabla ya kuwa Rais hivi ) akisema ndiyo Pesa wanayoipata kutokana na Mauzo ya Jezi.

Hongereni mno wana Yanga SC ( Mazuzu FC ) kwa Kukubali rasmi kupokea Mgawo wa Mauzo ya Jezi zenu wa Tsh Bilioni Mbili na si tena Tsh Bilioni Nane na kumruhusu Rais wenu Yanga SC Injinia Hersi Said ajipatie 'Kiubwerere" Tsh Bilioni Sita kila mwaka zikiwa ni Pesa zake Binafsi.

Upuuzi huu hautoukuta Simba SC!!!!
 
Hersi amewaweka utopolo mfuko wa nyuma wa suruali yake, tena amewachanganya na leso yenye jasho lake.

Hersi anafanya kazi GSM, Hersi huyo huyo, anaingia mikataba na GSM akiiwakilisha utopolo FC, haya maajabu yanasikitisha.
 
Hizo ni namba tu kwangu hazina mantiki hata wewe unaweza kuja kuzitaja. Yanga walikuja na 12bil kwa miaka 3. Simba wakaja na 26bil kwa miaka 5. swali la wenye akili likawa contents za mikataba zikoje ingawa zinaweza kuwa siri lakini taratibu zinaanza kujionyesha wazi kwani kuna vitu havina siri. mfano mzuri mkataba wa Yanga na mdhamini wake Sportpesa unajumuisha kwa klabu nzima kwa maana ya timu ya wanaume, wanawake , u20 nk ila kwa Simba na Mbet ni tofauti udhamini wake ni kwa timu ya wakubwa tu (wanaume) ya wanawake haihusiki na udhamini huo wala u20.

wenye akili wanaona Simba walicheza karata zao vyema ktk hili kwani udhamini wowote wa Simba queens unaongeza mshiko (thamani) wa klabu kwa ujumla. hivyo hivyo kwa u20 ambao wanadhaminiwa na Africarriers.

Turudi kilichosainiwa jana yanga na gsm. mwanzo yanga walikuwa wanapata 1300tsh kwa kila mauzo ya jezi 1 ambayo bei ni 35000. hiki ni kilikuwa kichekesho cha karne. kwanini isiwe 50-50? simba kuingia na vunjabei wakaweka mezani matakwa yao, fred vujabei akaweka ubaoni 2bil kwa miaka 2 kwa maana ya 1b kwa mwaka. kelele zikaanza mtaani gsm ananangwa jana wamerudi wamesema 1.5b kwa miaka 5 kukiwa na ongezeko la 10% kila mwaka.

Hii ina maana akili ya simba imeisaidia yanga kuwaza au kupata aina hii ya mkataba. heko kwa Berbara. swali la wenye akili, ikiwa mwanzo vunjabei alikwenda yanga na mkataba wa jezi wa 1bil uongozi na gsm wanamtolea nje huku klabu kama klabu ikiendelea kunyonywa kwa 1300 kwa jezi moja.

Je miaka hii 5 ya gsm na yanga itakuwaje akijitokeza mwingine mwenye mshiko zaidi? ina maana hadi Hersi atoke uongozini hakuna mtu atasogeza pua yake hata kama ana hela kuliko kilichowekwa na gsm. je hersi analinda zaidi maslahi ya klabu au gsm?

swali lingine katika mchakato huo hersi alikuwa upande upi? ukurugenzi UWEKEZAJI wa gsm au URAIS wa yanga? naona wachambuzi wa mchele wako kimya hawalioni lini
 
Kwanza sio ustaarabu kuwa ita watu Mazuzu ambao bila shaka wengi wao wamekuzidi kwa mengi tu. HIYO difference ni kubwa sana kuiangalia kwa mtazamo wako huo. Inawezekana sana Hersi hakueleweka au wewe hukumuelewa Hersi.

Sitaki kuamini kwamba Club ya Yanga Ina uamskini wa watu wenye akili kama unavyotaka kutuaminisha, ambao hawawezi kung'amua tatizo kwenye tofauti kubwa kiasi hicho.

Ila kama limefanyika haliwezi kuchukua mda mrefu litafahamika tu vizuri.
 
Kwanza sio ustaarabu kuwa ita watu Mazuzu ambao bila shaka wengi wao wamekuzidi kwa mengi tu. HIYO difference ni kubwa sana kuiangalia kwa mtazamo wako huo. Inawezekana sana Hersi hakueleweka au wewe hukumuelewa Hersi...
Haji Manara....."Wenye Akili Yanga SC nzima ni Rais Mstaafu Kikwete, Mama Karume na Baba yangu Mzee Sunday Manara waliobakia ni Mazuzu"
 
Yaani Rais na Mtendaji wa Uwekezaji ambaye ni mtu mmoja kutoka Taasisi mbili tofauti.

Anaadika barua ya proposal upande mmoja anaijibu na kushauri upande wa pili.
 
Sasa kama tumepigwa sisi, nyie kwanini inawauma si mtulie ili tufail the msherekee?.

Ila kwakuwa roho zina wauma sana nyie endeleeni kubwajaja.
 
Yanga kupata sponsorship kwenye jez na bango la GSM MAX kwa zaid ya billion 1 per year sion dhambi. Ukilinganisha na majirani zetu wanaotuponda . Kwanza tujipongeze kwa UWAZI wa mambo yetu tofauti na wenzetu jezi ina mibango mingi alaf thamani yake haijulikan et kisa wameuza hisa zote kwa bil 20 mileleeeeee
 
Kama Yanga sc wameridhika na wanachokipata wewe Ni nani uanze kutuletea jasho kunuka? Si utulie, nini kinakuwasha mwenzetu? Mbona unashobokea wanaume mwenzio? Hii tabia utaacha lini? Ukomi? Dah nakusikitikia Sana na nakupa pole maana umechina, Hakuna mwenye habari na wewe.
 
Yanga kupata sponsorship kwenye jez na bango la GSM MAX kwa zaid ya billion 1 per year sion dhambi. Ukilinganisha na majirani zetu wanaotuponda . Kwanza tujipongeze kwa UWAZI wa mambo yetu tofauti na wenzetu jezi ina mibango mingi alaf thamani yake haijulikan et kisa wameuza hisa zote kwa bil 20 mileleeeeee
Yaani wewe ndio umewakilisha jinsi akili za Utopolo wote zinavyofanya kazi kwa kusuasua. Umeprove useminwa karia kuwa mna kinyesi.
 
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said katika Mkutano wake na wana Yanga SC katika Mikutano yao ya Kikatiba aliwahi kusema kuwa Udhamini wa Jezi wa GSM kwa Yanga SC umeipatia Klabu hiyo Tsh Bilioni Nane ( 8 ) kwa Mwaka na Mazuzu kama Kawaida yao Wakamshangilia na Kushangilia.

Jana tu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said bila ya Aibu na huku akisahau kuwa japo huko Yanga SC kuna Mazuzu wengi ila huku kwa wana Simba SC tupo Wanamichezo wenye Akili Kubwa na kamwe hatuko tayari Kukubali Kudanganywa kwa Usanii wake wa Mchana Kweupe.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jana kasema kuwa Kampuni ya GSM ambao ndiyo Kit Sponsors wa Jezi za Yanga SC wameingia Mkataba wa Jezi na Yanga SC wa Tsh Bilioni Kumi ( 10 ) kwa miaka Mitano huku kila mwaka Yanga SC ( Mazuzu FC ) wakipata Tsh Bilioni Mbili ( 2 ) tu tofauti na Tsh Bilioni Nane ( 8 ) ambazo Yeye Mwenyewe akiwa ni Muakilishi wa GSM ( kabla ya kuwa Rais hivi ) akisema ndiyo Pesa wanayoipata kutokana na Mauzo ya Jezi.

Hongereni mno wana Yanga SC ( Mazuzu FC ) kwa Kukubali rasmi kupokea Mgawo wa Mauzo ya Jezi zenu wa Tsh Bilioni Mbili na si tena Tsh Bilioni Nane na kumruhusu Rais wenu Yanga SC Injinia Hersi Said ajipatie 'Kiubwerere" Tsh Bilioni Sita kila mwaka zikiwa ni Pesa zake Binafsi.

Upuuzi huu hautoukuta Simba SC!!!!
Baki hukohuko na yanga yako!
 
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said katika Mkutano wake na wana Yanga SC katika Mikutano yao ya Kikatiba aliwahi kusema kuwa Udhamini wa Jezi wa GSM kwa Yanga SC umeipatia Klabu hiyo Tsh Bilioni Nane ( 8 ) kwa Mwaka na Mazuzu kama Kawaida yao Wakamshangilia na Kushangilia.

Jana tu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said bila ya Aibu na huku akisahau kuwa japo huko Yanga SC kuna Mazuzu wengi ila huku kwa wana Simba SC tupo Wanamichezo wenye Akili Kubwa na kamwe hatuko tayari Kukubali Kudanganywa kwa Usanii wake wa Mchana Kweupe.

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said jana kasema kuwa Kampuni ya GSM ambao ndiyo Kit Sponsors wa Jezi za Yanga SC wameingia Mkataba wa Jezi na Yanga SC wa Tsh Bilioni Kumi ( 10 ) kwa miaka Mitano huku kila mwaka Yanga SC ( Mazuzu FC ) wakipata Tsh Bilioni Mbili ( 2 ) tu tofauti na Tsh Bilioni Nane ( 8 ) ambazo Yeye Mwenyewe akiwa ni Muakilishi wa GSM ( kabla ya kuwa Rais hivi ) akisema ndiyo Pesa wanayoipata kutokana na Mauzo ya Jezi.

Hongereni mno wana Yanga SC ( Mazuzu FC ) kwa Kukubali rasmi kupokea Mgawo wa Mauzo ya Jezi zenu wa Tsh Bilioni Mbili na si tena Tsh Bilioni Nane na kumruhusu Rais wenu Yanga SC Injinia Hersi Said ajipatie 'Kiubwerere" Tsh Bilioni Sita kila mwaka zikiwa ni Pesa zake Binafsi.

Upuuzi huu hautoukuta Simba SC!!!!
Bil 20+bil 25=Bil 85
Only mbumbumbu tu ndo wataelewa hapa
 
Back
Top Bottom