LoL ko masingle mama hawapendagi ehh🤔Mwanamke hawezi kukupenda zaidi ya mtoto wake ,hamn mapenzi hapo ni ujinga tu
Hakuna upendo hapo ni ujinga tu ,jitu lishazaa linataka mapenzi ya nn tena ? Si aende kwa aliyezaa naye ... single mothers matapeli wakubwa.LoL ko masingle mama hawapendagi ehh🤔
Are you matured enough to be married?Muache Mtoto wa watu, you are not matured enough kuwa Baba
Ningemwoa nayeSasa mtoto wa miaka 5 unakuja na uzi, hivi ungedate na single mother mwenye mtoto wa miaka 22 ungefanyaje?
Mkuu unamuona wivu mtoto anayelilia chakula chake (ziwa la mama yake), ujuwe ni haki yae na wewe ni mwizi wake maana unalinyonya wakati yeye hajakupa ruhusa. Naona kama vile mnamaindiana. Mvumilie tu huyo Maza, huyo mtoto atakuwa na atakuachia hilo ziwa ulichezee wewe.Ni dada ambaye nimempenda naye kanipenda.lakini ana mtoto wa miaka 5 huyu mtoto amedekezwa sana. Mimi kwangu ni kero kwa kweli. Mtoto ananyonya vidole? Mtoto anayenyonya vidole namwona ni toto jinga jinga.
Akitaka kulala anaanza na kulia kwanza so mama yake anambembeleza ndo alale. Akishtuka usingizini usiku anataka akumbatiwe na apewe ziwa awe anachezea chezea mdomoni ndo alale. Mama yake anaona sawa tu.
Anaweza pigiwa simu na dada wa kazi akapewa aongee na mama yake analia tu kuwa mama yake arudi nyumbani ambembeleze alale. Kitendo tu cha kunyonya vidole muda wote mimi kinanikera. Sasa sitaki hata kukanyaga kwa huyu single mother. Anasisitiza niwe father figure kwa mwanaye. Mimi siwezi lea mtoto kinare nare. Nimeona mapema tunashindwana.
NYie🤨 km alizaa bila kupenda.anyway mambo yao waachiwe wenyeweHakuna upendo hapo ni ujinga tu ,jitu lishazaa linataka mapenzi ya nn tena ? Si aende kwa aliyezaa naye ... single mothers matapeli wakubwa.
Hakuna hiyo sababu ,single mother ni malaya hata singlefather ni malaya pia.NYie🤨 km alizaa bila kupenda.anyway mambo yao waachiwe wenyewe
Wewe unachopenda ni mbususu tu mengine aaah
Acha utoto huyo bado mdogoNi dada ambaye nimempenda naye kanipenda.lakini ana mtoto wa miaka 5 huyu mtoto amedekezwa sana. Mimi kwangu ni kero kwa kweli. Mtoto ananyonya vidole? Mtoto anayenyonya vidole namwona ni toto jinga jinga.
Akitaka kulala anaanza na kulia kwanza so mama yake anambembeleza ndo alale. Akishtuka usingizini usiku anataka akumbatiwe na apewe ziwa awe anachezea chezea mdomoni ndo alale. Mama yake anaona sawa tu.
Anaweza pigiwa simu na dada wa kazi akapewa aongee na mama yake analia tu kuwa mama yake arudi nyumbani ambembeleze alale. Kitendo tu cha kunyonya vidole muda wote mimi kinanikera. Sasa sitaki hata kukanyaga kwa huyu single mother. Anasisitiza niwe father figure kwa mwanaye. Mimi siwezi lea mtoto kinare nare. Nimeona mapema tunashindwana.
Ama kweli duniani wajibga hawawezi kwisha kabisa hata dunia iwe na kiwango cha juu kabisa cha elimu bora.Ni dada ambaye nimempenda naye kanipenda.lakini ana mtoto wa miaka 5 huyu mtoto amedekezwa sana. Mimi kwangu ni kero kwa kweli. Mtoto ananyonya vidole? Mtoto anayenyonya vidole namwona ni toto jinga jinga.
Akitaka kulala anaanza na kulia kwanza so mama yake anambembeleza ndo alale. Akishtuka usingizini usiku anataka akumbatiwe na apewe ziwa awe anachezea chezea mdomoni ndo alale. Mama yake anaona sawa tu.
Anaweza pigiwa simu na dada wa kazi akapewa aongee na mama yake analia tu kuwa mama yake arudi nyumbani ambembeleze alale. Kitendo tu cha kunyonya vidole muda wote mimi kinanikera. Sasa sitaki hata kukanyaga kwa huyu single mother. Anasisitiza niwe father figure kwa mwanaye. Mimi siwezi lea mtoto kinare nare. Nimeona mapema tunashindwana.
Toto la laana nililipie boarding!Huna hela mjomba, ungekua na hela ungempeleka boarding school. Usitafute lawama na njia ya kutokea.
Mkuu nakuomba msaidie huyo mtoto mpaka mama anaomba uwe father figure ujue keshashindwa pekee yakeNi dada ambaye nimempenda naye kanipenda.lakini ana mtoto wa miaka 5 huyu mtoto amedekezwa sana. Mimi kwangu ni kero kwa kweli. Mtoto ananyonya vidole? Mtoto anayenyonya vidole namwona ni toto jinga jinga.
Akitaka kulala anaanza na kulia kwanza so mama yake anambembeleza ndo alale. Akishtuka usingizini usiku anataka akumbatiwe na apewe ziwa awe anachezea chezea mdomoni ndo alale. Mama yake anaona sawa tu.
Anaweza pigiwa simu na dada wa kazi akapewa aongee na mama yake analia tu kuwa mama yake arudi nyumbani ambembeleze alale. Kitendo tu cha kunyonya vidole muda wote mimi kinanikera. Sasa sitaki hata kukanyaga kwa huyu single mother. Anasisitiza niwe father figure kwa mwanaye. Mimi siwezi lea mtoto kinare nare. Nimeona mapema tunashindwana.
Mkuu nakuomba msaidie huyo mtoto mpaka mama anaomba uwe father figure ujue keshashindwa pekee yake
Nimejikuta nimemuhurumia sana huyo dada
Mkuu ikikupendeza play that role
Kama umemchoka tuachie sisi, tumle mpaka mifupa sisi ndo mafisi 🎼🎶🎵Ni dada ambaye nimempenda naye kanipenda.lakini ana mtoto wa miaka 5 huyu mtoto amedekezwa sana. Mimi kwangu ni kero kwa kweli. Mtoto ananyonya vidole? Mtoto anayenyonya vidole namwona ni toto jinga jinga.
Akitaka kulala anaanza na kulia kwanza so mama yake anambembeleza ndo alale. Akishtuka usingizini usiku anataka akumbatiwe na apewe ziwa awe anachezea chezea mdomoni ndo alale. Mama yake anaona sawa tu.
Anaweza pigiwa simu na dada wa kazi akapewa aongee na mama yake analia tu kuwa mama yake arudi nyumbani ambembeleze alale. Kitendo tu cha kunyonya vidole muda wote mimi kinanikera. Sasa sitaki hata kukanyaga kwa huyu single mother. Anasisitiza niwe father figure kwa mwanaye. Mimi siwezi lea mtoto kinare nare. Nimeona mapema tunashindwana.