Naona kijana anaanza kuchemka sasa!

Bora Useme Wewe Kwa Kuwa Nikisema Mimi Ntaambiwa Ni Mzushi Lakini Nakumbuka Kwenye Kikao Cha East Africa Youth Forum Dodoma Mwaka 2001,by The Time Walikuwepo Hebron Mwakagenda,hubert Augustine-wish, Mayunga,nchimbi,nakumbuka Ata Kitila Alikuwepo Bt Sikumbuki Vema,komba Isaya Na Vijana Wengi.mh Zitto Alianguka Kifafa,kwa Kuwa Alivunjika Jino Moja La Mbele Wakati Anaanguka Tulimpeleka Hospitali.walithibitisha Kuwa Kilikuwa Ni Kifafa.najua Sheria Za Nchi Haziruhusu Mtu Mwenye Kifafa Kuwa Rais Sasa Sijui Yeye Ana Mpango Gani.au Amepona Tayari?
 
Bora Useme Wewe Kwa Kuwa Nikisema Mimi Ntaambiwa Ni Mzushi Lakini Nakumbuka Kwenye Kikao Cha East Africa Youth Forum Dodoma Mwaka 2001,by The Time Walikuwepo Hebron Mwakagenda,hubert Augustine-wish, Mayunga,nchimbi,nakumbuka Ata Kitila Alikuwepo Bt Sikumbuki Vema,komba Isaya Na Vijana Wengi.mh Zitto Alianguka Kifafa,kwa Kuwa Alivunjika Jino Moja La Mbele Wakati Anaanguka Tulimpeleka Hospitali.walithibitisha Kuwa Kilikuwa Ni Kifafa.najua Sheria Za Nchi Haziruhusu Mtu Mwenye Kifafa Kuwa Rais Sasa Sijui Yeye Ana Mpango Gani.au Amepona Tayari?
Lol nimezimia nick yako MCHAWI.....sheria ya tz inakataza wenye kifafa kuwa wababa wa taifa?
 
Bora Useme Wewe Kwa Kuwa Nikisema Mimi Ntaambiwa Ni Mzushi Lakini Nakumbuka Kwenye Kikao Cha East Africa Youth Forum Dodoma Mwaka 2001,by The Time Walikuwepo Hebron Mwakagenda,hubert Augustine-wish, Mayunga,nchimbi,nakumbuka Ata Kitila Alikuwepo Bt Sikumbuki Vema,komba Isaya Na Vijana Wengi.mh Zitto Alianguka Kifafa,kwa Kuwa Alivunjika Jino Moja La Mbele Wakati Anaanguka Tulimpeleka Hospitali.walithibitisha Kuwa Kilikuwa Ni Kifafa.najua Sheria Za Nchi Haziruhusu Mtu Mwenye Kifafa Kuwa Rais Sasa Sijui Yeye Ana Mpango Gani.au Amepona Tayari?

ooops tayari hicho kipengele kinamzuia....tutamwomba akomae na ubunge tu asiende pupa sasa atulize mzuka.
 
Bora Useme Wewe Kwa Kuwa Nikisema Mimi Ntaambiwa Ni Mzushi Lakini Nakumbuka Kwenye Kikao Cha East Africa Youth Forum Dodoma Mwaka 2001,by The Time Walikuwepo Hebron Mwakagenda,hubert Augustine-wish, Mayunga,nchimbi,nakumbuka Ata Kitila Alikuwepo Bt Sikumbuki Vema,komba Isaya Na Vijana Wengi.mh Zitto Alianguka Kifafa,kwa Kuwa Alivunjika Jino Moja La Mbele Wakati Anaanguka Tulimpeleka Hospitali.walithibitisha Kuwa Kilikuwa Ni Kifafa.najua Sheria Za Nchi Haziruhusu Mtu Mwenye Kifafa Kuwa Rais Sasa Sijui Yeye Ana Mpango Gani.au Amepona Tayari?

Sema wewe kiazi nikisema mimi mhogo naambiwa mchungu....

On serious note, nobody is taking Zitto Kabwe seriously of late... hata lile tangazo lake alilolitoa kwa mbwembwe kuwa hato gombea ubunge Kigoma kaskazini comes 2010 tayari amesha u turn kwa maelezo kuwa "pressure" imekuwa kubwa kutoka kwa "wazee" akina Mtei, Makani et al.

I cautioned well before kuwa huyu "dogo" ni mapepe so now these are only earlier symptons more to unfold......
 
Bora Useme Wewe Kwa Kuwa Nikisema Mimi Ntaambiwa Ni Mzushi Lakini Nakumbuka Kwenye Kikao Cha East Africa Youth Forum Dodoma Mwaka 2001,by The Time Walikuwepo Hebron Mwakagenda,hubert Augustine-wish, Mayunga,nchimbi,nakumbuka Ata Kitila Alikuwepo Bt Sikumbuki Vema,komba Isaya Na Vijana Wengi.mh Zitto Alianguka Kifafa,kwa Kuwa Alivunjika Jino Moja La Mbele Wakati Anaanguka Tulimpeleka Hospitali.walithibitisha Kuwa Kilikuwa Ni Kifafa.najua Sheria Za Nchi Haziruhusu Mtu Mwenye Kifafa Kuwa Rais Sasa Sijui Yeye Ana Mpango Gani.au Amepona Tayari?[/QUOKAKA UNAYOSEMA NI KWELI ATA MIMI NILIKUWEPO SIKU ILE ALIPOANGUKA NA TENA NAKUMBUKA HAKURUDI CHUO MPAKA ALIPOENDA KULICHONGA LILE JINO LAKE LILILOKATIKA.ILIKUWA NI MBAYA NA ILIKUWA MARA YANGU NYA KWANZA KUONA MTU ANAANGUKA KIFAFA I WISH WAGUNDUE DAWA YA UGONJWA HUU MBAYA SANA.MAPOVU MENGI SANA YANAKUTOKA.NAOMBA TUACHE HILI KWA KWELI NI MBAYA.
 
Hebu tujikumbushe kidogo na hii habari,

Habari Leo; Jumamosi,May 24, 2008 @00:02

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Alfred Tibaigana anayetarajia kustaafu Julai mwaka huu amesema huenda akagombea ubunge katika Jimbo la Muleba Kusini mwaka 2010.

Mbunge wa sasa wa Muleba Kusini ni Wilson Masilingi wa CCM ambaye wakati wa awamu ya tatu, aliwahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais aliyeshughulikia Utawala Bora. Akizungumza na gazeti hili jana, Tibaigana ambaye anatarajia kustaafu rasmi Julai 5 mwaka huu, alisema amepata ujumbe kutoka kwa wakazi wa Muleba Kusini wakimtaka aende kugombea ubunge katika jimbo hilo.

“Kwa sasa bado sijaamua kwa sababu familia yangu imegawanyika, nusu yake wanataka nigombee na nusu wengine hawataki, sasa tunajadiliana na wakikubali basi nitagombea mwaka 2010,” alisema Tibaigana ambaye ni mzaliwa wa Wilaya ya Muleba

Mbali na nia hiyo ya kugombea ubunge, Tibaigana alisema kuwa atakapostaafu atajihusisha na biashara ya kuendesha hoteli ambayo ameshaijenga pamoja na wenzake eneo la Mkuranga mkoani Pwani. Hakuwataja wenzake. Kwa mujibu wake, Mkuranga pia ana shamba la mananasi, mapasheni na anafuga nguruwe, mbuzi, ng’ombe na kondoo.

Pia kijijini kwao katika Kata ya Buganguzi, wilayani Muleba ana shamba la migomba na anafuga ng’ombe. Wakati anaondoka katika nafasi hiyo ya ukamanda wa Dar es Salaam, Tibaigana mbali na kuwashukuru wakazi kwa ushirikiano waliompa katika kazi, ametoa mwito waheshimu sheria kupunguza ajali.

Kabla ya mwaka 2006 alipoteuliwa kushika wadhifa alio nao (Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam), Tibaigana alikuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam tangu 2001. Kanda ya Dar es Salaam inajumuisha mikoa ya polisi ya Kinondoni, Ilala na Temeke.

Alitokea mkoani Arusha ambako alishika wadhifa huo wa ukamanda wa mkoa tangu mwaka 2002. Alianza kushika wadhifa wa Kamanda wa Polisi katika mkoa wa Tanga mwaka 1997.


.....hapa kuna mtu alipiga kelele?
.....kwa maelezo yote hayo aliyoyatoa Bwana Tibaigana sinikwamba alikuwa anaweka Cv yake wananchi waione!
.....kuna ubaya gani alivyofanya!


Zitto ameweka wazi dhamira yake.....kelele
kwani Urais nini kama siyo siasa? kuna mtu anasomea Urais?
....acheni uoga mwacheni awe huru, hata wewe kama unataka kugombea udiwani tangaza wazi nia yako huo ndiyo mwanzo wa kampeni

...wapeni salamu wenye roho za korosho...wambieni watakufanavyo
 
Kwani mtu akitangaza kuwa anataka urais kuna shida gani? Ina maana mtu ukiingia kwenye siasa unatakiwa uishie tuu kwenye ubunge? Sioni shida mwache kijana atangaze mapema ili tuweze kumweleza weakness zake mapema ili aweze kujibadilisha. Mbona JK alijulikana tangu mwaka 1995 kuwa kama atakuwa hai mwaka 2005 angegombea urais? Ni vizuri tukawajua mapema isije ikawa kama ile ya Mwalimu nyerere kumleta Mkapa from no where angalia madhara yake sasa
 
Hiki Ni Kihoja Cha Mwaka,wewe Zito Kabwe Kweli Unawaza Kuja Kuwa Rais Wa Tanzania??????????????????????????????
Unashangaa nini Fisadi Mtoto? Zitto kwa sasa ni umri tu unaombana kikatiba,lakini hebu niambie ukichukua mizani na kumweka yeye na huyu Brother wa sasa utapata jibu.
Kama huyu wa sasa kapewa, kioja kiko wapi hapo?
 
Mgonjwa Wa Kifafa And Presidency.....!

Jamani this is pathetic! Please lets stop it..

Kama tumeanza kuwajaji watu kwa magonjwa yao kama kifafa..nani atasalimika, si tutaanza na kifafa then..BP, then ulemavu nk? harafu wengi humu ni vijana na watu wazima.....who knows that in five years utakuwa na magonjwa kama hayo? harafu tunashangaa kwanini ALBINO wanauliwa..ni kwa sababu ya mawazo kama haya....na..its all about bigotry..simple!

Hivi kweli nani anaomba apate ugonjwa? katika Katiba yetu..kuna kipengele kinachosema kwamba ukiwa na kifafa you are unfit for public office?

Wakuu tujadili. Lakini tusipitilize hakuna ajuaye kesho na kesho kutwa! ushabiki, upendo na chuki zetu zisitufanye tuwe watu wasio na shukrani kwa afya na uzima tulionao..tukaanza kuwabondea wenzetu..its bad..lets stop it.... Haya maisha ni very flagile kwako na mimi. Hujui what lies ahead in two minutes. Si haki hata kama Zitto ana kifafa kuitumia hiyo argument kama kejeli. Its sad and pathetic to say the least! Ukiwa na afya "njema" wewe, kumbuka anything can happen. Hakuna mwenye mkataba na Mungu! Kama issue ni serious, ofcourse, doctors with competency can advise kwamba ajamaa asipewe majukumu makubwa kama hayo nk..lakini siyo sisi, just kuongea from no where....it demeans our intellectual intergrity!

Mungu ana akili sana ndo maana vitu vyote vya muhimu alivitoa bure..maji, hewa, pumzi nk..alijua kuna watu wangevitumia kuwamaliza wenzao....

Naomba hii issue ya ugonjwa wa Zitto kama mtu ana ushahidi ijengee hoja kuonyesha kwa nini mtu yeyote mwenye kifafa hastahili kuwa kiongozi wa nchi na siyo kuitumia kama kejeli...

Otherwise tunakufuru kuwahukumu watu kwa vitu ambavyo vimewatokea bila utashi wao.

Peace to you all!
 
Jamani this is pathetic! Please lets stop it..

Kama tumeanza kuwajaji watu kwa magonjwa yao kama kifafa..nani atasalimika, si tutaanza na kifafa then..BP, then ulemavu nk? harafu wengi humu ni vijana na watu wazima.....who knows that in five years utakuwa na magonjwa kama hayo? harafu tunashangaa kwanini ALBINO wanauliwa..ni kwa sababu ya mawazo kama haya....na..its all about bigotry..simple!

Hivi kweli nani anaomba apate ugonjwa? katika Katiba yetu..kuna kipengele kinachosema kwamba ukiwa na kifafa you are unfit for public office?

Wakuu tujadili. Lakini tusipitilize hakuna ajuaye kesho na kesho kutwa! ushabiki, upendo na chuki zetu zisitufanye tuwe watu wasio na shukrani kwa afya na uzima tulionao..tukaanza kuwabondea wenzetu..its bad..lets stop it.... Haya maisha ni very flagile kwako na mimi. Hujui what lies ahead in two minutes. Si haki hata kama Zitto ana kifafa kuitumia hiyo argument kama kejeli. Its sad and pathetic to say the least! Ukiwa na afya "njema" wewe, kumbuka anything can happen. Hakuna mwenye mkataba na Mungu! Kama issue ni serious, ofcourse, doctors with competency can advise kwamba ajamaa asipewe majukumu makubwa kama hayo nk..lakini siyo sisi, just kuongea from no where....it demeans our intellectual intergrity!

Mungu ana akili sana ndo maana vitu vyote vya muhimu alivitoa bure..maji, hewa, pumzi nk..alijua kuna watu wangevitumia kuwamaliza wenzao....

Naomba hii issue ya ugonjwa wa Zitto kama mtu ana ushahidi ijengee hoja kuonyesha kwa nini mtu yeyote mwenye kifafa hastahili kuwa kiongozi wa nchi na siyo kuitumia kama kejeli...

Otherwise tunakufuru kuwahukumu watu kwa vitu ambavyo vimewatokea bila utashi wao.

Peace to you all!
HUSIWE MVIVU WA KUJIELIMISHA.NI KWELI KUNA MAGONJWA AMBAYO MTU HARUHUSIWI KUGOMBEA URAIS,MFANO NI MAGONJWA YA AKILI NA KIFAFA,MARA NYINGI KIFAFA KINAPOKUWA CRITICAL KINAHALIBU ATA AKILI,NA HAKUNA ANAEWEZA KUSEMA LINI KITAKUWA CRITICAL KTK MAISHA.
 
Ana haki ya kusema ndoto zake anazoziwaza katika maisha yake ya politic!You should aim
higher bwana!Go on zito you deserve it!
 
Namsupport Zito,you should aim higher bwana.Sasa mlitaka aseme anataka kuwa Waziri Fulani?
To him akiaim uraisi then akaambulia uwaziri its okey sioni tatizo jamani.
Keep it up Zito ila izo mbio za uraisi uzianze 2020 ili ukoma komae kisiasa
 
Hizo siasa za zamani za kuogopa kuonesha ambition yako. Urais siyo ufalme ambao mtu anaogopa kusema anautaka. Alichofanya Zitto ni kujisababishia standard ya pekee na kuangaliwa na watu kwa ukaribu zaidi. Amejiweka ili achunguzwe na kupimwa. Haya mambo ya kudanganya ati watu hawautaki Urais lakini zikitolewa fomu wanakuwa wa kwanza kuchukua tena kwa mbwembwe yamepitwa na wakati.

Kama kuna mtu anafikiria kuwa Rais mwakani na ajulikane hivyo. Kinachonishangaza ni kuwa ilipoandikwa taarifa ya gazeti la Raia Mwema wiki chache zilizopita na watu waliojipanga Urais hakuna mtu aliyesema neno. Wao wenyewe hakuna aliyekanusha kuwa si kweli wanautaka Urais. Soma HAPA

Kama kuonesha nia ya kuutaka Urais ni kosa kubwa na vibaya watu kujua unautaka Urais mbona leo tuna Rais ambaye alijulikana ana utaka? Au kwa vile kasema Zitto kwa vile tunamjua na ni bwana mdogo na kama utani tunamuita "kijana" (kweli ni kijana lakini imetumika with contempt) basi hastahili kusema nia yake?

Urais ni nafasi ya kuwatumikia wananchi wenzako na Taifa lako na hakuna aibu wala kumfanya awe duni ati kwa sababu ametamka kuwa wakati ukifika angependa kufanya hivyo. Tuje na chuki nyingine lakini hizi za kwa vile Zitto kasema lililomoyoni mwake hazina msingi, kwani kuna baadhi ya watu hapa Zitto hawezi kusema lolote zuri, hawezi kufanya lolote jema, na hata kama ana mawazo yoyote basi asiyatoe kwa vile anaweza "kuchemsha" na kuwatibua wataalamu wa JF!

Kwa hili ni ninyi mmechemsha, leteni hoja nyingine, kijana ana haki zote kama Mtanzania yeyote na kama atakuwa na sifa zote za kuwa Rais basi hakuna kitakachomzuia..! and he'll have my full support if he wants to! Na hilo applies to anybody else who would dare to declare his intention na tutaangalia rekodi yake.

Binafsi nampongeza Mhe. Zitto kwa kusema alilonalo, na hivyo kutupa nafasi ya kumuangalia na kumsaidia asianze kufungwa fungwa na mafisadi, na hivyo amejiweka mwenyewe kwenye chekecheo la wakosoaji na tutampima na kumjaribu kama kwa moto na akipita salama itakuwa fahari kumuona akiapishwa kuwa Rais wa Jamhuri yetu! Yes I said it!
Asante mkuu.Nimekupata sana yani.
 
DUUH
Kumbe watu wengine wakikutwa off-guard they start showing their true colors.That was a long and wrong shot by Mr.Kabwe.He has just signed his own political death warranty.
 
Mara nyingi URAIS hujipeleki mwenyewe unasukumwa na watu. Vile vile ndani ya Chadema kuna taratibu za kuwapendekeza watu na mwisho kumchagua mmoja wapo kuwania urais.

Nafikiri kwa stage aliyopo Zitto hakufikiria sana. Nakubaliana na Chacha wangwe pamoja na kwamba moyoni anataka kuwa mgombea lakini anasema kama chama kitampendekeza atagombea urais.

Nafikiri Zitto ameteleza kidogo.
 
Mimi nafikiri kila mtu ana haki ya kutaka kuwa yeyote katika nchi yetu, ikiwemo urais. Zitto pia ana haki ya kuutaka urais wa nchi yetu au hata Ukatibu Mkuu wa Umoja wa mataifa, mpaka hapo hakuna shida wala mushekeli. Kwamba anaweza au la hilo ni jukumu la wapiga kura kuamua.

Je amefanya a strategic mistake kuweka intentions zake wazi tena mapema namna hii, it is highly debatable.

Mambo mawili muhimu ya kuzingatia kwa mwanasiasa. Kwanza, mwanasiasa hujengwa na kubomolewa kwa maneno yake. Pili, wanasiasa wengi strategic wanazingatia sana kanuni na 3 na 4 za political strategist maarufu duniani anayeitwa Robert Greene. Inasemekana wanasiasa wengi maarufu duniani wanatembea na kitabu chake hiki popote waendapo, kinaitwa "48 laws of power".

Nazinukuu hizi kanuni namba 3 na 4 hapa chini.

Law 3: Conceal your intentions. Keep people off- balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions. If they have no clue what you are up to, they cannot prepare a defence.

Law 4: Always say less than necessary. When you are trying to impress people with words, the more you say, the more common you appear, and the less in control. Even if you are saying something banal, it will seem original if you make it vague, open- ended, and sphinxlike. Powerful people impress and intimidate by saying less. The more you say, the more likely you are to say somthing foolish.

So, kwangu mimi alichosema Zitto sio ujinga lakini pia sio ujanja katika siasa!
 
Hayo mambo watu wanasema wakiwa secondary school, hawayasemi tena wakiwa wanasiasa mpaka siku inapofika wanapoamua kugombea.

Kama Zitto katamka hivyo leo, basi huyo keshashindwa tayari, sahau yeye kuwa rais wa Tanzania.

.......sio uraisi tuu,hata ubunge wake sasa utakuwa gombania goli kuanzia ndani ya chama chake mpaka wapinzani wake,kijana kacheza na moto hapo na kisiasa atakuwa target nzuri sana kwa wapinzani wake,sitashangaa kila kitu atakachoongea CCM watakuwa wakimkebehi tuu na kumjengea slogan ya maneno yake ya kugombea uraisi kuanzia sasa na kuishia kuonekana kituko tuu
 
Back
Top Bottom