Bora Useme Wewe Kwa Kuwa Nikisema Mimi Ntaambiwa Ni Mzushi Lakini Nakumbuka Kwenye Kikao Cha East Africa Youth Forum Dodoma Mwaka 2001,by The Time Walikuwepo Hebron Mwakagenda,hubert Augustine-wish, Mayunga,nchimbi,nakumbuka Ata Kitila Alikuwepo Bt Sikumbuki Vema,komba Isaya Na Vijana Wengi.mh Zitto Alianguka Kifafa,kwa Kuwa Alivunjika Jino Moja La Mbele Wakati Anaanguka Tulimpeleka Hospitali.walithibitisha Kuwa Kilikuwa Ni Kifafa.najua Sheria Za Nchi Haziruhusu Mtu Mwenye Kifafa Kuwa Rais Sasa Sijui Yeye Ana Mpango Gani.au Amepona Tayari?