Uchaguzi 2020 Naona kama chama changu kimekata tamaa Dar es salaam

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe.

Majimbo kama Temeke, Mbagala, Kigamboni, Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa CCM, hakuna harakati za kupambania haya majimbo. Labda Kawe ndio tunajitutumua.

Kwa ngazi ya urais nazunguka mji mzima naona mabango ya CCM na mgombea wao, sijui chama chetu hakina hata pesa ya mabango na bendera.

Hali hii inakatisha tamaa maana jamaa wameshaanza kujinasibu watakuwa na 89.5% kama uchaguzi utafanyika Jumatano ijayo!
 
Ubungo nakukatalia, Jacob yuko vizuri anakubalika sana, huko kwingine kuna kampeni bado zinaendelea japo sio kwa kiwango cha Jacob pale Ubungo, lakini amini siasa ni timing, unasubiriwa wakati ufike aje mtu kama Lissu kuamsha hamasa then after kila kitu kitabadilika,
 
Ubungo nakukatalia, Jacob yuko vizuri anakubalika sana, huko kwingine kuna kampeni bado zinaendelea japo sio kwa kiwango cha Jacob pale Ubungo, lakini amini siasa ni timing, unasubiriwa wakati ufike aje mtu kama Lissu kuamsha hamasa then after kila kitu kitabadilika,
Labda ubungo,dogo lakini hali si nzuri.
 
Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe.

Majimbo kama Temeke,Mbagala,Kigamboni,Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa Ccm,hakuna harakati za kupambania haya majimbo. Labda kawe ndio tunajitutumua.

Kwa ngazi ya urais nazunguka mji mzima naona mabango ya Ccm na mgombea wao,sijui chama chetu hakina hata pesa ya mabango na bendera.

Hali hii inakatisha tamaa,maana jamaa wameshaanza kujinasibu watakuwa na 89.5% kama uchaguzi utafanyika jumatano ijayo!
Mbagala, ubungo, kibamba, kawe hayo ni majimbo ya chadema CCM mnapoteza muda. Pona yenu ni figisu tu
 
Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe.

Majimbo kama Temeke,Mbagala,Kigamboni,Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa Ccm,hakuna harakati za kupambania haya majimbo. Labda kawe ndio tunajitutumua.

Kwa ngazi ya urais nazunguka mji mzima naona mabango ya Ccm na mgombea wao,sijui chama chetu hakina hata pesa ya mabango na bendera.

Hali hii inakatisha tamaa,maana jamaa wameshaanza kujinasibu watakuwa na 89.5% kama uchaguzi utafanyika jumatano ijayo!
Chadema wanafanya kampeni kisayansi zaidi, dar ina miundo mbinu Ni rahis kuiteka wiki ya mwisho, pia wakazi wengi wa dar wana uelewa hawahitaji makelele ya maccm
 
Ninaona kama kwa Dar es salaam chama changu hakina mpango wa kuchukua majimbo mengine zaidi ya Kawe.

Majimbo kama Temeke,Mbagala,Kigamboni,Ubungo na Segerea ni kama wameyatoa kafara kwa Ccm,hakuna harakati za kupambania haya majimbo. Labda kawe ndio tunajitutumua.

Kwa ngazi ya urais nazunguka mji mzima naona mabango ya Ccm na mgombea wao,sijui chama chetu hakina hata pesa ya mabango na bendera.

Hali hii inakatisha tamaa,maana jamaa wameshaanza kujinasibu watakuwa na 89.5% kama uchaguzi utafanyika jumatano ijayo!
Subiri BAVICHA waje kukuroga humu hahahaha
 
Wew ni CCM tu kama mimi,but back to the point ni kwamba wagombea wote kwenye majimbo (CCM Na upinzan) wamelaza damu kwanza ili week mbili kabla ya uchaguzi waje ki vingne,ukianza mapema kuja kufika uchaguzi utakua ushakata pumzi Na resources utakua huna bora uvizie tu.uchaguzi wa mwaka huu umejawa Na umaskini kuanzia kwa wananchi hadi wanaochagua
 
Ubungo nakukatalia, Jacob yuko vizuri anakubalika sana, huko kwingine kuna kampeni bado zinaendelea japo sio kwa kiwango cha Jacob pale Ubungo, lakini amini siasa ni timing, unasubiriwa wakati ufike aje mtu kama Lissu kuamsha hamasa then after kila kitu kitabadilika,


Huyu Mbeba Mizigo anakubalika na wale wenzake pale stand ya mabasi.
 
Chadema wanafanya kampeni kisayansi zaidi, dar ina miundo mbinu Ni rahis kuiteka wiki ya mwisho, pia wakazi wengi wa dar wana uelewa hawahitaji makelele ya maccm
Sawa kama, kama mambo ya digital yanafika mpaka kwa Mpalange na kwa Dumba.
 
Wew ni CCM tu kama mimi,but back to the point ni kwamba wagombea wote kwenye majimbo (CCM Na upinzan) wamelaza damu kwanza ili week mbili kabla ya uchaguzi waje ki vingne,ukianza mapema kuja kufika uchaguzi utakua ushakata pumzi Na resources utakua huna bora uvizie tu.uchaguzi wa mwaka huu umejawa Na umaskini kuanzia kwa wananchi hadi wanaochagua
Ahaaa,kadi ya Ccm ulinipa?
 
Ubungo nakukatalia, Jacob yuko vizuri anakubalika sana, huko kwingine kuna kampeni bado zinaendelea japo sio kwa kiwango cha Jacob pale Ubungo, lakini amini siasa ni timing, unasubiriwa wakati ufike aje mtu kama Lissu kuamsha hamasa then after kila kitu kitabadilika,
Binamu wa Lissu atamlaza chali Jackob asubuhi kweupe.
 
Back
Top Bottom