Starwars91
Member
- Jul 12, 2020
- 52
- 47
- Thread starter
- #41
Crazy manfree shit like this that always got in trouble have some self respect sometimes and being cheap
Crazy manfree shit like this that always got in trouble have some self respect sometimes and being cheap
Ashadeletiwa mkuu. Hapa ni mwanaumeAcha uboya wewe,huyo block namba yake kisha malizia kwa delete. Warembo walivyojaa hivi yanini kubembeleza.
muone huyu ww huezi toka na meanamke bila kumtongoza kumbewewe mtu sio rafiki yako sio kaka yako akuite hivi hivi akununulie na msosi we unaona sawa yaani wanawake nyie bana huwaga akiki zenu huwa zinakuwaje...yaani mwanamke nimkuja kugundua kuanzia miaka 40 kurudi chini mostly akili wanakua nazo za kitoto
huo ni ujinga sasa yaani mimi nitoke na mtu sio ndugu yangu halafu nisimtongoze kwa nini yaani ukiona hivo ndpo wale jamaa unakuta ana utitiri wa mademu wengi anasema marafiki zake afu hawampi mwisho wa siku unajidharaulisha hata kwa mademu wengine nao wanakuona boya na wanaamini kama wewe umezoeana na wanawake kiasi hiko basi hata akimpa na kuwa naye kwanye relationship lazima kugombana ndo maana washkaji kama hawa unakuta wanapataga sana shida kupata mademu...mwanaume unatakiwa uwe na mipaka na wanawake sio kuwa na marafiki zako na ukiwa na mwanamke pia ujieshimu sio kukimbizana na marafiki eti halafu wakikemuone huyu ww huezi toka na meanamke bila kumtongoza kumbe
Kwahyo kama mtu ana mtu wake akaja kuonana na ww kwa stori ni dhambi?!
wewe mtu sio rafiki yako sio kaka yako akuite hivi hivi akununulie na msosi we unaona sawa yaani wanawake nyie bana huwaga akiki zenu huwa zinakuwaje...yaani mwanamke nimkuja kugundua kuanzia miaka 40 kurudi chini mostly akili wanakua nazo za kitoto
huo ni ujinga sasa yaani mimi nitoke na mtu sio ndugu yangu halafu nisimtongoze kwa nini yaani ukiona hivo ndpo wale jamaa unakuta ana utitiri wa mademu wengi anasema marafiki zake afu hawampi mwisho wa siku unajidharaulisha hata kwa mademu wengine nao wanakuona boya na wanaamini kama wewe umezoeana na wanawake kiasi hiko basi hata akimpa na kuwa naye kwanye relationship lazima kugombana ndo maana washkaji kama hawa unakuta wanapataga sana shida kupata mademu...mwanaume unatakiwa uwe na mipaka na wanawake sio kuwa na marafiki zako na ukiwa na mwanamke pia ujieshimu sio kukimbizana na marafiki eti halafu wakike
Hata wizara ina naibu waziri, sijui mkuu alikwama wapiSasa wewe umemtoa Out ili ukamuulize kama ana mtu au??? Hata yanga jana imepigwa goli 4 lakini golini walikuwa na Kipaaa... wewe komaa mzee
yaani wee acha tyuuuh khaaaah.Anataka kulazimisha Donad trap aje awe raisi wa uganda na mseveni aende USA
Unadhan hata haooo wanawake wooooote wanaotoka na watu out ni singles? Kuna wengine si kuwa na mchumba tu, bali wapo ktk ndoa kabisa. Ila changamito na mapito zinawafany kuchoka na kutafuta faraja, huku akilinda Mahusiano. Yasibomoke. Hapo unawwza pewa ujembe kuwa HATUWEZI KUWA PAMOJA KTK FAMILIA, BUT TUNAWEZA KULIWAZANA NA KUENJOY.Nilikutana na Dada mmoja mzuri kiasi. Nikamuomba namba. Nikawa nachat nae kidogo siku kadhaa nampotezea. Nikamuomba kidogo tukakae mahali tuongee alikubali. Nikakaa kama mwezi weekend moja nikasema niko free twende tukae mahali tuongee. Akaja kweli, tukakaa, tukanywa, tukala tukabadilishana mawili matatu nikamwambia shida yangu. Akaniambia ana mpenzi na anajulikana mpaka kwao. Lakini kabla ya hapo kila nikimuuliza alikuwa ananiambia hana.
Sasa najiuliza alijua namtaka, nikamwita akaja, akanisikiliza akajumuika na Mimi. Kama kweli ana mtu anajulikana mpaka kwao, inakuwa je akubali kuja kujumuika na Mimi tena wawili tu? Je ananipima au anamaanisha? Kama muda wote hakuniambia, mpaka tumetoka, ndo anasema ana mtu wake, ina maana kabla ya huko kote asingeweza kukaataa kutoka out na Mimi kisa ana mtu? Nataman kupotezea lakin roho inakataa. Nahisi ananipima. Wanawake hawa jamani.
Changieni mawazo kidogo watanzania.
Mkuu ulitakiwa ule kwanza mzigo kimasihara kwanza , mambo mengine yangejijenga yenyeweNilikutana na Dada mmoja mzuri kiasi. Nikamuomba namba. Nikawa nachat nae kidogo siku kadhaa nampotezea. Nikamuomba kidogo tukakae mahali tuongee alikubali. Nikakaa kama mwezi weekend moja nikasema niko free twende tukae mahali tuongee. Akaja kweli, tukakaa, tukanywa, tukala tukabadilishana mawili matatu nikamwambia shida yangu. Akaniambia ana mpenzi na anajulikana mpaka kwao. Lakini kabla ya hapo kila nikimuuliza alikuwa ananiambia hana.
Sasa najiuliza alijua namtaka, nikamwita akaja, akanisikiliza akajumuika na Mimi. Kama kweli ana mtu anajulikana mpaka kwao, inakuwa je akubali kuja kujumuika na Mimi tena wawili tu? Je ananipima au anamaanisha? Kama muda wote hakuniambia, mpaka tumetoka, ndo anasema ana mtu wake, ina maana kabla ya huko kote asingeweza kukaataa kutoka out na Mimi kisa ana mtu? Nataman kupotezea lakin roho inakataa. Nahisi ananipima. Wanawake hawa jamani.
Changieni mawazo kidogo watanzania.
Hivi wanaume tukoje?kwani kila mwanamke lazima awe demu wako?tuwaache wengine wawe "just friend"Nilikutana na Dada mmoja mzuri kiasi. Nikamuomba namba. Nikawa nachat nae kidogo siku kadhaa nampotezea. Nikamuomba kidogo tukakae mahali tuongee alikubali. Nikakaa kama mwezi weekend moja nikasema niko free twende tukae mahali tuongee. Akaja kweli, tukakaa, tukanywa, tukala tukabadilishana mawili matatu nikamwambia shida yangu. Akaniambia ana mpenzi na anajulikana mpaka kwao. Lakini kabla ya hapo kila nikimuuliza alikuwa ananiambia hana.
Sasa najiuliza alijua namtaka, nikamwita akaja, akanisikiliza akajumuika na Mimi. Kama kweli ana mtu anajulikana mpaka kwao, inakuwa je akubali kuja kujumuika na Mimi tena wawili tu? Je ananipima au anamaanisha? Kama muda wote hakuniambia, mpaka tumetoka, ndo anasema ana mtu wake, ina maana kabla ya huko kote asingeweza kukaataa kutoka out na Mimi kisa ana mtu? Nataman kupotezea lakin roho inakataa. Nahisi ananipima. Wanawake hawa jamani.
Changieni mawazo kidogo watanzania.