Starwars91
Member
- Jul 12, 2020
- 52
- 47
Nilikutana na Dada mmoja mzuri kiasi. Nikamuomba namba. Nikawa nachat nae kidogo siku kadhaa nampotezea. Nikamuomba kidogo tukakae mahali tuongee alikubali. Nikakaa kama mwezi weekend moja nikasema niko free twende tukae mahali tuongee. Akaja kweli, tukakaa, tukanywa, tukala tukabadilishana mawili matatu nikamwambia shida yangu. Akaniambia ana mpenzi na anajulikana mpaka kwao. Lakini kabla ya hapo kila nikimuuliza alikuwa ananiambia hana.
Sasa najiuliza alijua namtaka, nikamwita akaja, akanisikiliza akajumuika na Mimi. Kama kweli ana mtu anajulikana mpaka kwao, inakuwa je akubali kuja kujumuika na Mimi tena wawili tu? Je ananipima au anamaanisha? Kama muda wote hakuniambia, mpaka tumetoka, ndo anasema ana mtu wake, ina maana kabla ya huko kote asingeweza kukaataa kutoka out na Mimi kisa ana mtu? Nataman kupotezea lakin roho inakataa. Nahisi ananipima. Wanawake hawa jamani.
Changieni mawazo kidogo watanzania.
Sasa najiuliza alijua namtaka, nikamwita akaja, akanisikiliza akajumuika na Mimi. Kama kweli ana mtu anajulikana mpaka kwao, inakuwa je akubali kuja kujumuika na Mimi tena wawili tu? Je ananipima au anamaanisha? Kama muda wote hakuniambia, mpaka tumetoka, ndo anasema ana mtu wake, ina maana kabla ya huko kote asingeweza kukaataa kutoka out na Mimi kisa ana mtu? Nataman kupotezea lakin roho inakataa. Nahisi ananipima. Wanawake hawa jamani.
Changieni mawazo kidogo watanzania.