Sijui kwa upande wenu ila kila nikitizama siku hizi single parenting imekuwa kama trend yaani kitu fulani ambacho vijana hawakiogopi.
Nikitizama zaidi nawaona hawa wana saikolojia/motivation speakers ambao kidogo wamebase kwenye biashara hili jambo wamelichukua kibiashara zaidi. Mfano siku hizi kuna makongamano ya jinsi ya single father/mother wanavyo takiwa waleee watoto, nimeona imekuwa kibiashara zaidi.Naona kuna vipindi mpaka vya TV vya kuwaelimisha single parenting jinsi ya kuwalea watoto wao.
Ila sijaona juhudi za kukazania jinsi ya kuwajenga vijana wapende maisha ya familia, maisha ya ndoa, umuhimu wa familia.
Najua jamii yetu imekengeuka vijana siku hizi hawataki kubeba majukumu yao, jamii yetu imekuwa shaghala baghala,Jando na unyago hatutaki kuvisikia na maisha ya wakubwa ambayo vijana wanatakiwa kujifunzo kupitia wao nao wanahisi maisha ya hovyo.
Kila nikitizama kama tumeamua kuupromote huu usingle parenting now kupitia media na hizi semina (sio kitu kibaya kuwatia moyo single parents) ila naona kama mafunzo ya kuwaeleimisha vijana kuishi maisha ya ndoa na familia yao kama tuna yapuuzia.
Sijui kwa wengine ila kwangu kuna kitu na kiona sio kizuri kwa jamii yetu ijayo.
Naamini familia bora,hutengeneza jamii bora na taifa bora.
Nikitizama zaidi nawaona hawa wana saikolojia/motivation speakers ambao kidogo wamebase kwenye biashara hili jambo wamelichukua kibiashara zaidi. Mfano siku hizi kuna makongamano ya jinsi ya single father/mother wanavyo takiwa waleee watoto, nimeona imekuwa kibiashara zaidi.Naona kuna vipindi mpaka vya TV vya kuwaelimisha single parenting jinsi ya kuwalea watoto wao.
Ila sijaona juhudi za kukazania jinsi ya kuwajenga vijana wapende maisha ya familia, maisha ya ndoa, umuhimu wa familia.
Najua jamii yetu imekengeuka vijana siku hizi hawataki kubeba majukumu yao, jamii yetu imekuwa shaghala baghala,Jando na unyago hatutaki kuvisikia na maisha ya wakubwa ambayo vijana wanatakiwa kujifunzo kupitia wao nao wanahisi maisha ya hovyo.
Kila nikitizama kama tumeamua kuupromote huu usingle parenting now kupitia media na hizi semina (sio kitu kibaya kuwatia moyo single parents) ila naona kama mafunzo ya kuwaeleimisha vijana kuishi maisha ya ndoa na familia yao kama tuna yapuuzia.
Sijui kwa wengine ila kwangu kuna kitu na kiona sio kizuri kwa jamii yetu ijayo.
Naamini familia bora,hutengeneza jamii bora na taifa bora.