Naona hili linazidi umri wangu

Naona hili linazidi umri wangu

Nawiwa kusema nimekuwa mnyonge mno kutoa salamu. Ninatamani ila nina huzuni. Wife ni mjamzito ila ananikera na nafikiria kuhama kwa muda.

Hapa nipo kijiwe x cha kahawa najishauri niunge moja kwa moja nipotee kwa muda au la.

Jana asubuhi by saa 3 tulikuwa tunashiriki tendo, mtoto shule anakwenda saa nne asubuhi kwa mujibu wa ratiba zao. Sasa mimi nipo chini yeye juu, mtoto akapiga hodi bila aibu huyu wife akamuambia sukuma mlango.

Nitamtazama vipi mwanangu kwa hali kama hii? Mbaya zaidi yeye hajali anacheka tu. Mtoto ana miaka 6 najipa moyo huenda hajui kilichokuwa kinaendelea.

Yaani nataka kuinuka ananilalia na mwili wake wote huku anacheka. Yaani mke wangu ananisononesha sana. Mtoto ameona maziwa mpaka shanga za kiunoni za mama yake.

Nimrudishe kwao akajifungulie kule?

Jamani mimi ni mtu mzima ila nimekwama, msaada! Mwenzangu hajui nini maana ya kudhalilika.
Mambo ya wanaume wa Dar
 
Nawiwa kusema nimekuwa mnyonge mno kutoa salamu. Ninatamani ila nina huzuni. Wife ni mjamzito ila ananikera na nafikiria kuhama kwa muda.

Hapa nipo kijiwe x cha kahawa najishauri niunge moja kwa moja nipotee kwa muda au la.

Jana asubuhi by saa 3 tulikuwa tunashiriki tendo, mtoto shule anakwenda saa nne asubuhi kwa mujibu wa ratiba zao. Sasa mimi nipo chini yeye juu, mtoto akapiga hodi bila aibu huyu wife akamuambia sukuma mlango.

Nitamtazama vipi mwanangu kwa hali kama hii? Mbaya zaidi yeye hajali anacheka tu. Mtoto ana miaka 6 najipa moyo huenda hajui kilichokuwa kinaendelea.

Yaani nataka kuinuka ananilalia na mwili wake wote huku anacheka. Yaani mke wangu ananisononesha sana. Mtoto ameona maziwa mpaka shanga za kiunoni za mama yake.

Nimrudishe kwao akajifungulie kule?

Jamani mimi ni mtu mzima ila nimekwama, msaada! Mwenzangu hajui nini maana ya kudhalilika.
Ila@Mkulungwa01 kwa malalamiko upo juu!
 
Nawiwa kusema nimekuwa mnyonge mno kutoa salamu. Ninatamani ila nina huzuni. Wife ni mjamzito ila ananikera na nafikiria kuhama kwa muda.

Hapa nipo kijiwe x cha kahawa najishauri niunge moja kwa moja nipotee kwa muda au la.

Jana asubuhi by saa 3 tulikuwa tunashiriki tendo, mtoto shule anakwenda saa nne asubuhi kwa mujibu wa ratiba zao. Sasa mimi nipo chini yeye juu, mtoto akapiga hodi bila aibu huyu wife akamuambia sukuma mlango.

Nitamtazama vipi mwanangu kwa hali kama hii? Mbaya zaidi yeye hajali anacheka tu. Mtoto ana miaka 6 najipa moyo huenda hajui kilichokuwa kinaendelea.

Yaani nataka kuinuka ananilalia na mwili wake wote huku anacheka. Yaani mke wangu ananisononesha sana. Mtoto ameona maziwa mpaka shanga za kiunoni za mama yake.

Nimrudishe kwao akajifungulie kule?

Jamani mimi ni mtu mzima ila nimekwama, msaada! Mwenzangu hajui nini maana ya kudhalilika.
Kabinti kangu kana 2yrs, nilipoona kanaanza kuigiza tunavyofanyaga nikatimulia chumba kingine

Endelea kujipa imani huyo wa 6yrs haelewi kitu
 
Nawiwa kusema nimekuwa mnyonge mno kutoa salamu. Ninatamani ila nina huzuni. Wife ni mjamzito ila ananikera na nafikiria kuhama kwa muda.

Hapa nipo kijiwe x cha kahawa najishauri niunge moja kwa moja nipotee kwa muda au la.

Jana asubuhi by saa 3 tulikuwa tunashiriki tendo, mtoto shule anakwenda saa nne asubuhi kwa mujibu wa ratiba zao. Sasa mimi nipo chini yeye juu, mtoto akapiga hodi bila aibu huyu wife akamuambia sukuma mlango.

Nitamtazama vipi mwanangu kwa hali kama hii? Mbaya zaidi yeye hajali anacheka tu. Mtoto ana miaka 6 najipa moyo huenda hajui kilichokuwa kinaendelea.

Yaani nataka kuinuka ananilalia na mwili wake wote huku anacheka. Yaani mke wangu ananisononesha sana. Mtoto ameona maziwa mpaka shanga za kiunoni za mama yake.

Nimrudishe kwao akajifungulie kule?

Jamani mimi ni mtu mzima ila nimekwama, msaada! Mwenzangu hajui nini maana ya kudhalilika.
Naomba namba zake za simu nimgombeze.
 
Nawiwa kusema nimekuwa mnyonge mno kutoa salamu. Ninatamani ila nina huzuni. Wife ni mjamzito ila ananikera na nafikiria kuhama kwa muda.

Hapa nipo kijiwe x cha kahawa najishauri niunge moja kwa moja nipotee kwa muda au la.

Jana asubuhi by saa 3 tulikuwa tunashiriki tendo, mtoto shule anakwenda saa nne asubuhi kwa mujibu wa ratiba zao. Sasa mimi nipo chini yeye juu, mtoto akapiga hodi bila aibu huyu wife akamuambia sukuma mlango.

Nitamtazama vipi mwanangu kwa hali kama hii? Mbaya zaidi yeye hajali anacheka tu. Mtoto ana miaka 6 najipa moyo huenda hajui kilichokuwa kinaendelea.

Yaani nataka kuinuka ananilalia na mwili wake wote huku anacheka. Yaani mke wangu ananisononesha sana. Mtoto ameona maziwa mpaka shanga za kiunoni za mama yake.

Nimrudishe kwao akajifungulie kule?

Jamani mimi ni mtu mzima ila nimekwama, msaada! Mwenzangu hajui nini maana ya kudhalilika.
Uwe unapiga chap-chap unamaliza kabla dogo hajaja kuaga...umekuwa mzembe kidogo!!
 
Back
Top Bottom