kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,167
Acha kulialia sasa mzeeOkay, wewe unatumia za kijanja ila hainihusu mimi. You are off point!
Acha kulialia sasa mzeeOkay, wewe unatumia za kijanja ila hainihusu mimi. You are off point!
Chapa vibao viwili wewe. Yaan mwanao aone tupu zako na ww unachekelea tuNikitaka kupiga namuonea huruma sana, mchovu mno!
OkUwe unapiga chap-chap unamaliza kabla dogo hajaja kuaga...umekuwa mzembe kidogo!!
Mbona kama wewe ndio unalia mkuu?Acha kulialia sasa mzee
Mimi sijachekelea hiliChapa vibao viwili wewe. Yaan mwanao aone tupu zako na ww unachekelea tu
Hiyo ID imenikumbusha mbali sanaAkili Mtu wangu![]()
Mkuu hapa sio solution kumpeleka nyumbani. Kwa nini unatumia njia ndefu kutatua tatizo? Kwanza tunaweza sema wote wanamakosa, mke alipo ruhusu mtoto kuingia ndani, jamaa alikuwa na uwezo wa kumstopisha dogo fasta. Lakini coz alinogewa na mbususu akawa kama kapigwa shoti kwa utamu.Pole mpeleke tu akajifungie kwanza maan atakupa tabu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Real idiotIdiot
Moja kati ya dalili za kutawaliwa,halafu unaposema anakukandamiza na mwili wake wote ina maana anakuzidi ubavu au?Mama ake alifosi tuendelee
Wakati nipo na x wife, mtoto wetu alikuwa na 2yrs wa kiume. Wife akanitibua asubuhi tu nikamkunja nikawa nimembananiza na ukuta nimpe makofi, dogo kumbe anaona picha lote, nikampotezea sikutaka purukushani kwa heshi.a ya mtoto.Kabinti kangu kana 2yrs, nilipoona kanaanza kuigiza tunavyofanyaga nikatimulia chumba kingine
Endelea kujipa imani huyo wa 6yrs haelewi kitu
Kwa nini unafosi nikuvunjie heshima mkuu? Last warning.!

Alivyoruhusu mtoto kuingia na wewe ukabaki kimya? Bila kuongea kwa sauti usiingie? Au wewe bila kutoka hapo haraka kumzuia mtoto? Basi wewe na mkeo dish linayumbaTusivunjiane heshima tafadhali
Ungenifahamu vizuri usingeandika haya!