Naona biashara ya Ndege tunaifaidisha Mabeberu, tunanunua ndege, mafunzo, service, mafuta, matairi. Na hazivuki border faida inatoka wapi?

Teni pasenti zitamuua mzee, atafuata nyayo za Bazil Mramba ndege lazima inunuliwe hata mkila nyasi, mzee wa mashangazi yeye anasema ndege lazima zinunuliwe hata mkinywa matope.
 
Unanunua ndege cash bado unawapigia magoti kuomba mikopo
Basi wajinga ni wao kutupa mikopo wakati tunanunua midege kwa cash kwao. Natamani mfike mahali hata msifie kidogo tu. Tutaomba mikopo ili tufanye maendeleo mengine wala sio kununua tena ndege. Furahini hata kidogo tu kuona nchi imefanya haya
 
Ndege ina muhimu wake,KIA hadi DIA kwa ndege ya Dreamliner ni dakika 38 tu.sawasawa kutoka Ubungo hadi Posta kwa mwendo kasi.
Karne hii ya 21 sio karne ya Vasco da Gama acha kupotosha.
Yani Ukiirusha Dreamliner Dar to KIA Ni Sawa Sawa Umechukua Basi Kubwa Zile Ziendazo Mikoani UKageuza Daladala.

Hiyo Ndege Sio Yakuipeleka KIA hata Siku Moja.
 
Acheni upuuzi mlipeni shangazi yangu mafao yake na akifa hajapata nitafungua mashitaka ,ma base yenu nyie......ndege akati mnakanyaga wengine
Basi wajinga ni wao kutupa mikopo wakati tunanunua midege kwa cash kwao. Natamani mfike mahali hata msifie kidogo tu. Tutaomba mikopo ili tufanye maendeleo mengine wala sio kununua tena ndege. Furahini hata kidogo tu kuona nchi imefanya haya
 
Ivi nawaza kama wao wanavyowaza?

1. Tunanunua ndege by cash
2. Wao ndio wanatufundisha kuendesha (training)
3. Wao ndio wanafanya service hapa bongo haipo service bay
4. Wao ndio wanatuuzia vifaa kama matairi na spare parts zote
5. Wao ndio wanatuuzia mafuta ya ndege. Walau ingekuwa inatumia gesi ya mtwara
6. Katika ndege hakuna hata nyuzi tunayotoa tanzania vyote vinatoka kwao.

Jiulize.
1. Ina safari za ndani pekee ambapo Tshs inatumika na hakuna fedha za kigeni
2. Hao watalii wanaosemwa ni wapi?
3. Tunatarajia wateja wetu ni hawa walimu na askari wapande ndege?
4. Au wateja ni wafanyakazi wa serikali hasa watawala wanaolipiwa na taasisi zao. Yaani unatoa mfuko wa kishoto unaweka wa kulia. Unayaita mapato
Kwahyo unataka tufanyeje?
Na hakuna dream liner inayopiga safari za ndani... Muwe mnaongea ukweli...
 
Ivi nawaza kama wao wanavyowaza?

1. Tunanunua ndege by cash
2. Wao ndio wanatufundisha kuendesha (training)
3. Wao ndio wanafanya service hapa bongo haipo service bay
4. Wao ndio wanatuuzia vifaa kama matairi na spare parts zote
5. Wao ndio wanatuuzia mafuta ya ndege. Walau ingekuwa inatumia gesi ya mtwara
6. Katika ndege hakuna hata nyuzi tunayotoa tanzania vyote vinatoka kwao.

Jiulize.
1. Ina safari za ndani pekee ambapo Tshs inatumika na hakuna fedha za kigeni
2. Hao watalii wanaosemwa ni wapi?
3. Tunatarajia wateja wetu ni hawa walimu na askari wapande ndege?
4. Au wateja ni wafanyakazi wa serikali hasa watawala wanaolipiwa na taasisi zao. Yaani unatoa mfuko wa kishoto unaweka wa kulia. Unayaita mapato
Kazi ipo... Mkuu tunapaswa kupongezwa na kujipongeza kwa hayo maendeleo...
Huku tukijisahaulisha ukosefu wa ajira na huduma za kijamii...
HATARI: Ni wale vijana (malimbikizo) waliomaliza vyuo na hawana ajira hadi sasa NI ZAIDI YA BOMU LA KUTEGWA ARDHINI...
 
Shida Sana hawa watu kila kitu wanapinga? Wanataka nini lakini?
Wapinzani hatujapinga kila kitu vipo tulivyosifia wewe haujiulizi kwanini iwe ndege tu zinazo lalamikiwa na wananchi hivi wewe uoni ni matumizi mabaya ya kodi zetu rais anavunja katiba anajiamulia tu yeye anavyotaka bila bunge mpaka sasa zimeletwa ndege saba mpaka 2022 inabidi ziwe zimenunuliwa ndege 14 nakuuliza tena hv we uoni kama haya ni matumizi mabaya ya kodi zetu
 
Ndege ina muhimu wake,KIA hadi DIA kwa ndege ya Dreamliner ni dakika 38 tu.sawasawa kutoka Ubungo hadi Posta kwa mwendo kasi.
Karne hii ya 21 sio karne ya Vasco da Gama acha kupotosha.
Sasa Karne hii lini watu wananunua ndege kwa cash halafu zinapaki tu airport
 
Back
Top Bottom