NAOMBENI USHAURI

NAOMBENI USHAURI

1779362279750.jpeg

Boss Ana Haki Ya Kukupapasa Kipenzi....
 
Hahaha boss ataichapa tu bwashee , akifika kesho atasahau tangazo
Kwa hatua waliyofikia, Boss ashindwe mwenyewe. Kinachouma unaweza kukuta manzi ana jamaa yake anampenda na kumjali kwa kila kitu! Ila kwa sababu amenunuliwa vinywaji na Boss, anaona ni sahihi kwenda kucheza kwenye giza na pia kuruhusu 'kushikwa shikwa'!!

Kwenye hili, kataa ndoa mnachukua pointi 3 za bure.
 
Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Acha kazi. Hiyo office ni ya kipumbavu inaongozwa na mpumbavua. I believe hakuna maslahi kihivyo hapo kama boss mwenyewe ndiyo yupo hivyo.
 
Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Hii iliwai Nikuta ingawa ilikua virse/versa.
Tumeenda party km hiyo sasa baada kumaliza kazi.
Tukaanz kazini changamsha kama kawa wine chap palepale story hao tukaenda town.
Boss wangu wa kike mmaza flani hivi kimodo kichwamaji.
Wine zile mzigoni kameanza kuyumba,mara paap kakanishika mkono balance,
Mi nikaunga hao had ukumbini tumekula badae dance likaanza.
Nikageuka bouncer wake aloo,
Mmaza chooni nimshikilie twende na kurudi wote.
Akiingia chooni nataka kungoja nje kinanivuta ndani nakingoja kinavua bikini kinakojoa daah🤦‍♂️
Badae kinasema nikivue km mtoto,
Ikawa kazi.
Mida hapo ndo vibe staff wengine kila mtu lwake.
Mmaza kabaki anajua ataanguka akienda kucheza nikabaki nae.
Aloo huyo bosi-maza nashangaa kakaba piga denda mzee sikujivunga shika- nyonya vichuchu km za mtoto asee.
Papasa vitako vile nilikua navitamani muda tu.
Chezea yule bosi usiku ule kaloa chapa,
Tatizo staff sasa wanarudirudi mezani.
Mafichoni kwenye misofa gizani.
Dah ilibaki hivi ningekula mzigo.
Balaa likawa j3😅🤣🤣🤣
Boss mwingine chini yake mshua nae alikua amelewa chapachapa yaani nae ni kuanguka tu namzoa namkokota hadi kwenye gari hawajielewi nikamwambia dreva wapeleke hawa mwenyewe.
J3 tunaonana si kwa aibu ile,yaani wanakwepesha macho balaa.
Wakaona watateseka sana zengwe likaanza mpaka nikawaachia kazi yao.
 
Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Mnafanya kazi sehemu za hovyo sana.
 
Hahahaha kwa sisi millenial hilo gonjwa huwa tunaligwaya kinouma , pisi inaweza katisha ukivuta picha watu walivyo kuwa wanaisha , abdala kichwa wazi ana nywea fasta
Niliwah mshuhudia mgonjwa nikasema sifanyi tena mchezo mbaya ila tunasahau 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom