HOLY SKANKA
JF-Expert Member
- Dec 30, 2025
- 610
- 1,035
Boss Ana Haki Ya Kukupapasa Kipenzi....
Kabisa mkuuTena ile black kama wasaidizi wa samuya.
Bwashee toa hili tangazo. Maana linasababisha baadhi yetu kushindwa kumshauri ipasavyo mtoa mada.
Kwanini bwashee 😁Bwashee toa hili tangazo. Maana linasababisha baadhi yetu kushindwa kumshauri ipasavyo mtoa mada.
Tangazo litamfanya mtoa mada kubakia njia panda na hivyo kushindwa kumtunuku Boss wake "Zawadi ya ushindi" 🤓Kwanini bwashee 😁
Hahaha boss ataichapa tu bwashee , akifika kesho atasahau tangazoTangazo litamfanya mtoa mada kubakia njia panda na hivyo kushindwa kumtunuku Boss wake "Zawadi ya ushindi" 🤓
Kwa hatua waliyofikia, Boss ashindwe mwenyewe. Kinachouma unaweza kukuta manzi ana jamaa yake anampenda na kumjali kwa kila kitu! Ila kwa sababu amenunuliwa vinywaji na Boss, anaona ni sahihi kwenda kucheza kwenye giza na pia kuruhusu 'kushikwa shikwa'!!Hahaha boss ataichapa tu bwashee , akifika kesho atasahau tangazo
Acha kazi. Hiyo office ni ya kipumbavu inaongozwa na mpumbavua. I believe hakuna maslahi kihivyo hapo kama boss mwenyewe ndiyo yupo hivyo.Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Hii iliwai Nikuta ingawa ilikua virse/versa.Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Mnafanya kazi sehemu za hovyo sana.Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Tanzania nzima? Mbona wachache hivi
Niliwah mshuhudia mgonjwa nikasema sifanyi tena mchezo mbaya ila tunasahau 😂😂😂Hahahaha kwa sisi millenial hilo gonjwa huwa tunaligwaya kinouma , pisi inaweza katisha ukivuta picha watu walivyo kuwa wanaisha , abdala kichwa wazi ana nywea fasta
Wapo wengi zaidi siunaelewa mambo ya takwimu za mama yaoTanzania nzima? Mbona wachache hivi
Mwisho wa kunukuu
HakikaMwisho wa kunukuu