NAOMBENI USHAURI

NAOMBENI USHAURI

Bwashee ugonjwa wa kawaida huo, nishaenda hospital akatoka dem mkali ana lia.

Kama nisinge kuwa dogo, basi ninge enda kumfariji
Hahahaha kwa sisi millenial hilo gonjwa huwa tunaligwaya kinouma , pisi inaweza katisha ukivuta picha watu walivyo kuwa wanaisha , abdala kichwa wazi ana nywea fasta
 
Mwambie boss akitaka zaid

Kuna nyumba ipo pahala fulani ainunue kwa ajili yako na ya pesa ndogo tu mill 31

Aandikishe majina yako iwe chini ya umiliki wako iwe ndio chimbo lako wewe na yeye kukutaniana bila ya hivyo endelea kumuonea haibu na usijibu simu yake wala sms zake

Nasisitiza umiliki uwe chini yako, na hati za nyumba ziwe kwenye himaya yako

Usizubae
 
Mi ninavyojua kizazi chenu hakina shida yoyote when it comes to sex.

Japo huwa jna episodes nyingi sana na maboss wako, coworkers etc. Angalia na umri unakata sio poa.
 
Badilisha hilo jina naona hulitendei haki.
Wewe na boss wako mmegeuza ofisi sehemu yenu ya kupeana burudani na kupigana matukio..!!

Kwahiyo ulimsamehe boss wako?
Wewe na cacutee id moja?
 
Wewe tumesha kuzowea na Chai zako
JF VAR CHECK
 
JF VAR CHECK
 
JF VAR CHECK
Kuna vitu vina ukweli ni vile mtu hana okusemea kwahiyo kapata zake pa kuyatapika ili awe huru!
 
Kuna siku kazini tulikuwa na get together, basi tukatoka out Kama office to have dinner then later watu wakaextend wakaenda kwenye mziki, so what happened is my boss was there so nilishangaa tu kwenye my table vimeletwa vinywaji naambiwa ni offer kutoka kwa fulani ( my boss) nikasema okay though It felt weird then baadae naota na mwenzangu naambiwa boss anakuita nikaenda alikaa kwenye coner Alaf kuna Giza so akaniambia let’s dance nikasema sio shida mazingira yanaruhusu basi he started touching me romantically na nilishindwa kumtoa mkono coz sikujua nifanye nini coz I was in shock jamani na hakuacha aliendelea kunishika shika Yani nilikua naogopa
So now kazini siwezi hata kumuangalia machoni and same to him so Sijui nifnyaje jamani.
Acha kazi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom