HaiwezekaniMpaka hapo, ww utaliwa tuu n suala la muda tuu, au tayari ameshalamba
😂😂😂Mwambie boss akitaka zaid
Kuna nyumba ipo pahala fulani ainunue kwa ajili yako na ya pesa ndogo tu mill 31
Aandikishe majina yako iwe chini ya umiliki wako iwe ndio chimbo lako wewe na yeye kukutaniana bila ya hivyo endelea kumuonea haibu na usijibu simu yake wala sms zake
Nasisitiza umiliki uwe chini yako, na hati za nyumba ziwe kwenye himaya yako
Usizubae
Utanilisha?Acha kazi!
Utake usitake utaliwa tu! Ni swala la muda tu!Utanilisha?