naombeni ushauri wenu wadau

gracious86

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
437
54
hellow everybody! Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuwa humu, so naombeni mnipokee,! Mimi ni msichana wa miaka 25,nimemaliza chuo kikuu mwaka jana. Tatizo nililonalo ni kwamba,nilipata boyfriend,ambaye tulipendana sana kufikia hatua ya mimi kubeba ujauzito nashkuru mungu nimejifungua salama mwez wa2, issue kubwa ni kwamba,jamaa kanisusia mtoto kisa,hajapenda jina nililompa mtoto! And so far, hatujaoana! Ila tulikua na plans hizo. Mimi nipo kwe2 dar na yeye anaishi nje ya mkoa akiendelea na mambo yake. Bynow,hatak mawasiliano yoyote na mimi,haulizi hata mtoto wake anaendeleaje! Amekua akintolea maneno ya kashfa and all that stuffs!jamani,au mimi ndiye mkosaji? And its nt that i ddnt tel him b4,nilimwambia! Lkn ni kigeugeu sana! Jamani nifanyeje?should i leave hm alone and live my own life?trully ameniharibu psychologically! Sidhani kama ntakuja kupenda tena maishani! Plz help me...
 
karibu sana kwenye jukwaa,na hongera kuwa na mtoto wako,wewe mpotezee,usijiumize kichwa bure,wanaume wengine ndivyo walivyo ingawa sio wote.endelea na mishuhuliko yako,huyohuyo m.me baadae anaweza akamtaka huyo mtoto.anakususia kisa jina,mbona haijaelekea,au hiyo kama ni sababu tu kwake?kwa kuwa mko mbali,uwezekano wa yeye kuwa na mwengine upo,kwake hiyo ni kama sababu,na ndio maana hata kuwasiliana na wewe hataki.usijali live your life,haijui thamani yako kwako.kwa kuwa yeye hakupigii,jikaze na wewe usimpigie
 
Halafu unaonekana wewe dada ni mbabe sana kwa nini ulimpa jina mtoto ambalo baba yake halitaki ? Pengine anahisi mtoto ana baba mwingine aliyetoa jina. Sasa mimi nakuamuru ukae haraka na mzazi mwenzio mjadili matatizo yenu.
 
Tatizo ni jina tu au ana sababu nyingine? Jaribu kuongea naye vizuri huenda ana sababu zake zingine ila kaona jina ndio liwe chanzo.
 
Since you realized that he was not happy with the name you could have leave pie as pie, let him provide the name to the kid. What is wrong with that my dear? Is the name has anything to do with the status of you being the mother? If No, then why force things yet you need him for keeps. You have to know that men get scared away by feelings. You seem to be so demanding. Please change your attitude.
Give him a break, but send him a text saying that you miss him and if he can have sometime so that you can meet and try to resolve the situation.
But the truth is that men are not averse to feelings – it's drama that turns them off. When you can embrace your feelings and communicate them to a man in plain language and in a way that does not blame or criticize him, a man will breathe a sign of relief.
If he does not reply to you, give it a break and carry on with your life. You are still young and have a lot to do, just love your self and accept whatever comes you way in a selective manner.
 
Hongera,

It depends with the name; usikute yaleyale ya kiswahili ( sikujua, chausiku, chamwisho, matatizo, sikudhani, )

au maybe hapendi majina ya kimarekani kama mimi (latoya, laqisha, tricia, merisha, etc.)

U still have time to change the name before she gets older,

I had a different name until when I was 9 months, my grandpa told my parents that he wants me to be named after him. Ndo maana naitwa Sita XXXX Sita
 
Hizi under 25 zina matatizo ziwe kike au kiume. Dada wewe una tatizo kubwa tu, tena umuombe radhi mzazi mwenzanko haraka sana hata kama hakupendi au humpendi ili uwe clean mbele za mwenyezi Mungu. Wanawake wenzangu kwanza mmesahau kumshirikisha Mungu kwenye mambo yenu, mmekuwa wababe hamuoni tofauti kati ya MME/MKE kila mtu ni kidume ndani ya nyumba.

Sasa wewe nakushauri, omba radhi haraka, na hilo jina ulilompa mtoto liweke kushoto mwambie mume wangu mtarajiwa naomba nisamehe shetani alipita humu kati kati toa jina kwa mtoto, ikiwezekana kama hajabatizwa chance that and with respect. Sijui kama unajua adha ya kulea mtoto peke yako! matatizo mnayowaingiza watoto wasio na hatia? kwa nini ulibeba huuo ujauzito kama ulijua hutaishi nae? Nani alikushauri kwamba wewe unaruhusiwa kutoa jina bila babake? Watch out my dear, hujui ugumu wa kulea mwenyewe!!!

Hizo elimu za chuo kikuu zisiiwape kiburi kwa mume sisi tunatakiwa kunyenyekea, na vizuri ukajua reaponsibilities zako na mipaka yake. Wewe siyo wa kutoa jina wala kwenu ni kwao na mume nafikiri hilo hukulijua! kwa sababu kosa umeshafanya ungama na mwambie mume naomba utoe jina na tusahau ya zamani tugange ya sasa. Hivi kwa akili yako ukimwacha huyo nani anakuoa na mzigo ulioubeba. Ni wanawake wachache wana bahati ya kuolewa wakiwa na watoto nje ya ndoa.

Cheza na bahati hiyo, uone cha moto. Acha ubabe, wewe ni mwanamke hata hizo NGO's zenu mnazoabudu eti zinawapa chance ya kuplay role as man You will never be a man till you die.

I wish you the best. Itapendeza kama ukirudi hapa umeshaomba radhi na uanatuelezea kwamba mwenzako anapiga simu na mnaongea vizuri.
 
Hizi under 25 zina matatizo ziwe kike au kiume. Dada wewe una tatizo kubwa tu, tena umuombe radhi mzazi mwenzanko haraka sana hata kama hakupendi au humpendi ili uwe clean mbele za mwenyezi Mungu. Wanawake wenzangu kwanza mmesahau kumshirikisha Mungu kwenye mambo yenu, mmekuwa wababe hamuoni tofauti kati ya MME/MKE kila mtu ni kidume ndani ya nyumba.

Sasa wewe nakushauri, omba radhi haraka, na hilo jina ulilompa mtoto liweke kushoto mwambie mume wangu mtarajiwa naomba nisamehe shetani alipita humu kati kati toa jina kwa mtoto, ikiwezekana kama hajabatizwa chance that and with respect. Sijui kama unajua adha ya kulea mtoto peke yako! matatizo mnayowaingiza watoto wasio na hatia? kwa nini ulibeba huuo ujauzito kama ulijua hutaishi nae? Nani alikushauri kwamba wewe unaruhusiwa kutoa jina bila babake? Watch out my dear, hujui ugumu wa kulea mwenyewe!!!

Hizo elimu za chuo kikuu zisiiwape kiburi kwa mume sisi tunatakiwa kunyenyekea, na vizuri ukajua reaponsibilities zako na mipaka yake. Wewe siyo wa kutoa jina wala kwenu ni kwao na mume nafikiri hilo hukulijua! kwa sababu kosa umeshafanya ungama na mwambie mume naomba utoe jina na tusahau ya zamani tugange ya sasa. Hivi kwa akili yako ukimwacha huyo nani anakuoa na mzigo ulioubeba. Ni wanawake wachache wana bahati ya kuolewa wakiwa na watoto nje ya ndoa.

Cheza na bahati hiyo, uone cha moto. Acha ubabe, wewe ni mwanamke hata hizo NGO's zenu mnazoabudu eti zinawapa chance ya kuplay role as man You will never be a man till you die.

I wish you the best. Itapendeza kama ukirudi hapa umeshaomba radhi na uanatuelezea kwamba mwenzako anapiga simu na mnaongea vizuri.

asante kwa ushauri mzuri, tena kutoka kwa dada..
kweli ukipata mtoto nje ya ndoa ni bahati sana kuolewa. Pia mtoto ataathirika kiasi kwa kukosa uwepo wa mzazi mwingine..waulize watu waliokulia from single mothers watakwambia baadhi ya athari, weka degree pembeni kwenye masuala ya kijamii
 
25 siyo umri mdogo, tayari una mtoto? ushauri mwingine uangalie vizuri ni wa kukupa kiburi cha kishetani. wewe una kosa mpaka hapo tena la DHARAU. Kwa mwanamke kama hujui neno SAMAHANI, ASANTE huna tofauti na mfu. Imagine hiyo laana inaweza endelea wenye kizazi chako, ebu jaribu kutuma message nyingi as much as you can, wanaume zetu siyo wabaya hasa pale unapokubali kosa wanasamehe bila kinyongo.
 
Hizi under 25 zina matatizo ziwe kike au kiume. Dada wewe una tatizo kubwa tu, tena umuombe radhi mzazi mwenzanko haraka sana hata kama hakupendi au humpendi ili uwe clean mbele za mwenyezi Mungu. Wanawake wenzangu kwanza mmesahau kumshirikisha Mungu kwenye mambo yenu, mmekuwa wababe hamuoni tofauti kati ya MME/MKE kila mtu ni kidume ndani ya nyumba.

Sasa wewe nakushauri, omba radhi haraka, na hilo jina ulilompa mtoto liweke kushoto mwambie mume wangu mtarajiwa naomba nisamehe shetani alipita humu kati kati toa jina kwa mtoto, ikiwezekana kama hajabatizwa chance that and with respect. Sijui kama unajua adha ya kulea mtoto peke yako! matatizo mnayowaingiza watoto wasio na hatia? kwa nini ulibeba huuo ujauzito kama ulijua hutaishi nae? Nani alikushauri kwamba wewe unaruhusiwa kutoa jina bila babake? Watch out my dear, hujui ugumu wa kulea mwenyewe!!!

Hizo elimu za chuo kikuu zisiiwape kiburi kwa mume sisi tunatakiwa kunyenyekea, na vizuri ukajua reaponsibilities zako na mipaka yake. Wewe siyo wa kutoa jina wala kwenu ni kwao na mume nafikiri hilo hukulijua! kwa sababu kosa umeshafanya ungama na mwambie mume naomba utoe jina na tusahau ya zamani tugange ya sasa. Hivi kwa akili yako ukimwacha huyo nani anakuoa na mzigo ulioubeba. Ni wanawake wachache wana bahati ya kuolewa wakiwa na watoto nje ya ndoa.

Cheza na bahati hiyo, uone cha moto. Acha ubabe, wewe ni mwanamke hata hizo NGO's zenu mnazoabudu eti zinawapa chance ya kuplay role as man You will never be a man till you die.

I wish you the best. Itapendeza kama ukirudi hapa umeshaomba radhi na uanatuelezea kwamba mwenzako anapiga simu na mnaongea vizuri.

Dadangu Caro, watu wanajifanya wanamapenyi sana. Vijana wengi wanaooyeshwa dalili za kupendwa na wenzi wao. Hawaonyeshwi upendo kutoka moyoni. Wamemaliza chuo wakadhan kila kitu kipo alright. Aombe radhi. Upande wa pili, inawezekana kweli mtu akamkataa mtoto kisa jina. There is s'thing behind ambacho hatujawekwa wazi. This is the problem of "under 25".
 
Pole kwanza, ni jina tu au kuna mengine behind the scene? Na huo ujuauzito ulikuwa planned? Mahusiano ya chuoni sio guarantee ya kuoana. Mwite ongea nae kinaga ubaga akwambie whats going on. Kuna katabia fulani kanaanza kujengeka miongoni mwa wadada magraduate " hata akiniachia mtoto ntamtunza juu nna shule ntapata kazi maisha yataenda" lakini jaribu kujishusha kidogo muongee uone.

All the best.
 
asante kwa ushauri mzuri, tena kutoka kwa dada..
kweli ukipata mtoto nje ya ndoa ni bahati sana kuolewa. Pia mtoto ataathirika kiasi kwa kukosa uwepo wa mzazi mwingine..waulize watu waliokulia from single mothers watakwambia baadhi ya athari, weka degree pembeni kwenye masuala ya kijamii

Ila dada Caroline mkali mno!
 
Halafu unaonekana wewe dada ni mbabe sana kwa nini ulimpa jina mtoto ambalo baba yake halitaki ? Pengine anahisi mtoto ana baba mwingine aliyetoa jina. Sasa mimi nakuamuru ukae haraka na mzazi mwenzio mjadili matatizo yenu.

ubabe unakujaje apo?
jima ndo issue?
uyo kaka kapata mwngne FULL STOP
mamii u just tak t easy n leave ya life
mpotezee ,meza maumivu yatakwisha mungu atakusaidia utapata mwngne HE Z NOT INTO U.
 
karibu sana kwenye jukwaa,na hongera kuwa na mtoto wako,wewe mpotezee,usijiumize kichwa bure,wanaume wengine ndivyo walivyo ingawa sio wote.endelea na mishuhuliko yako,huyohuyo m.me baadae anaweza akamtaka huyo mtoto.anakususia kisa jina,mbona haijaelekea,au hiyo kama ni sababu tu kwake?kwa kuwa mko mbali,uwezekano wa yeye kuwa na mwengine upo,kwake hiyo ni kama sababu,na ndio maana hata kuwasiliana na wewe hataki.usijali live your life,haijui thamani yako kwako.kwa kuwa yeye hakupigii,jikaze na wewe usimpigie
Sio kirahisi kihivyo kuna mtoto involves in this issue kwa hiyo unatakiwa kuwa makini. Kama unampenda mtafute mkae muongee, jina nini bwana badilisha mpe analotaka uone, labda kama alikuwa anatafuta njia ya kukuacha
 
Hata kama ni mimi nicngetaka kumwona ..... kutoa jina bila kumshirikisha mzazi mwenzio hiyo ni dharau!!
 
Tatizo lako unataka kumpanda mwanaume kichwani ndio maana kakukimbia, ulitakiwa kumshirikisha mwenzio kwenye jina la mtoto wako, unavyosema umuache hio sio solution cause he will still remain the father of your baby,na tatizo la jina litabaki palepale utamkosesha mwanao mapenzi ya baba bure! You dont want to that to you baby, is it? mpe nafasi mzazi mwenzako katika kuamua jina la mtoto. Huyo baba pia anaweza fikiria labda una mtu mwingine umeamua kuchagua nae jina la mtoto. Fikiria sana aisee uje na uamuzi mzuri
 
pole sista, bt ningeomba kuchukua nafasi kuwashauri wasichana wa vyuoni wasizae kabla ya ndoa bcoz unaweza ukaachwa na huyo aliyekupa mimba na akawa amekuwekea kama uzio maana wavulana wachache wako tayari kuoa binti aliye na mtoto. Pili wavulana wengine huona aibu kuoa binti mwenye mtoto wakimchukulia kama tayari kazeeka. Ushauri wangu kwako ni kwamba piga ua galagaza tayari umeishawekewa uzio so ni bora ukawa mpole kwa jamaa ili msonge mbele, ila ukijiona wewe ni gangwe wa maisha kisa una degree one day utaikumbuka hıi sms yangu. Umenielewa dada?
 
Mmmh! Jamani, jina tu!
Mbona wanaume wengine mna gubu hivyo?
Badilisha jina la mtoto kama vipi. Sidhani kama ni kazi kubwa. Mlishatambulishana rasmi kwa wazazi au?
 
pole sista, bt ningeomba kuchukua nafasi kuwashauri wasichana wa vyuoni wasizae kabla ya ndoa bcoz unaweza ukaachwa na huyo aliyekupa mimba na akawa amekuwekea kama uzio maana wavulana wachache wako tayari kuoa binti aliye na mtoto. Pili wavulana wengine huona aibu kuoa binti mwenye mtoto wakimchukulia kama tayari kazeeka. Ushauri wangu kwako ni kwamba piga ua galagaza tayari umeishawekewa uzio so ni bora ukawa mpole kwa jamaa ili msonge mbele, ila ukijiona wewe ni gangwe wa maisha kisa una degree one day utaikumbuka hıi sms yangu. Umenielewa dada?

na tusifanye mapenzi kabla ya ndoa.
 
Back
Top Bottom