Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki. Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha. Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not???
Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki. Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha. Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not???
umewaza kama mimi, yani nimebak namshangaaa, ilibidi nisome zaidi ya mara moja ili nihakikishe nimemuelewa maana nilihisi kama simuelewi, then nikarudi kusoma comments nione kama kweli nimeelewa sahihi loh MAJANGAHivi kabisa umekaza makalio yako na kuandika haya uliyoandika kwa minajili ya kuomba ushauri!!!
Unadhani sisi ni wazinzi wenzako???
exactlyNina wasiwasi kifo cha mumewe ulikisababisha ww ili abakie yeye mle raha kwa mali ya mshkaji,ww umechangia kifo cha jamaa,alaf huna aibu unaeleza hapa kumuonea wiv mke wa mtu,huna akili kabisa.
Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki.
Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha.
Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not?
Mimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki.
Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha.
Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not?
Hizi ni pumba tuuuuuuMimi nina mke wangu na mtoto mmoja ila kuna dada nina mahusiano nae ya kimapenzi kwa muda wa kama miaka miwili hivi, huyu dada alikuwa ni mke wa mtu ila kwa bahati mbaya mume wake akatangulia mbele za haki.
Kwa kweli ni muaminifu sana, anajuwa mapenzi na pia yuko committed na maisha.
Mume wake hajamuacha vibaya sana kwani ni msomi na pia ana bishara mbili tatu.
Mimi tunashindwana na yeye katika mambo yafuatayo.
1. Anapenda kuendeleza uhusiano na na wale marafki ya marehemu mume wake
2. Anapenda sana freedom sometimes atoke nao dinner, drinks whatever ila anakuambia mahali kabisa alipo
3. Kuna wakati unaweza ukampigia simu akakwambia tuma text hawezi kuongea bila ya kukuambia alipo na anafanya nini.
Kwakweli mimi naona kwangu inakuwa ngumu kuendelea kuwa naye kwa hiyo freedom ambayo anaitaka.
Je wadau mimi niko right or not?