hapa kwenye kitengo mimi nipo mwenyewe mdadakwa nini usiongozane na mashosti wako kula?
Muwe kama watatu hivi mnakaa meza moja?
kiukweli mimi naogopa sana watu
mida ya tea nasubiria mida ambayo hamna watu wengi mahali ambapo huwa napata tea
lunch ivoivo naweza kukaa hadi saa tisa sijala ili tu wayu wapungue kabisa maana naogopa
sasa kuna mkaka mmoja kiukweli namuogopa sana wa ofsi ya jirani hapo
mara nyingi tunakutana kwenye huo mgahawa
tatizo ni hili yaani kila nikienda pamoja na nimechelewa nikiagiza tu chakula kikiwekwa mezani na yeye ndo anajitokeza
jamani hadi nakonda mwenzenu maana chakula hakipiti.
nikisema niwahi anakuja,nikichelewa anakuja sijui nifanyeje
Jasho langu nikilipiga mnada E bay linaweza likagonga dola mia nane.Sisi Maselebriti kila kitu chetu ni dili.
Hahahaaaa.
Mwambie Husninyo nampa hi..
kiukweli mimi naogopa sana watu
mida ya tea nasubiria mida ambayo hamna watu wengi mahali ambapo huwa napata tea
lunch ivoivo naweza kukaa hadi saa tisa sijala ili tu wayu wapungue kabisa maana naogopa
sasa kuna mkaka mmoja kiukweli namuogopa sana wa ofsi ya jirani hapo
mara nyingi tunakutana kwenye huo mgahawa
tatizo ni hili yaani kila nikienda pamoja na nimechelewa nikiagiza tu chakula kikiwekwa mezani na yeye ndo anajitokeza
jamani hadi nakonda mwenzenu maana chakula hakipiti.
nikisema niwahi anakuja,nikichelewa anakuja sijui nifanyeje
Uskute jibaba linafanana na avatar ya nitonye heheheHahahaha! Kwanini anamuogopa?..
Kale ka vitz kangu kameibiwa sku izi naonekana na baskeli lina rust kwenye spoki, nazani ndio sababuHeee, tena? Jamani mlivyokuwa mnapendana na Husninyo nani kawakosanisha?
Jasho langu ukilichanganya na maji wanaokunywa kuku wa kizungu basi ndani ya wiki unauza mfugo. Jasho langu lina virutubisho vya kutosha kabisa.khaaaa! Kwani jasho lako linalaza ya sukari?
Jasho langu ukilichanganya na maji wanaokunywa kuku wa kizungu basi ndani ya wiki unauza mfugo. Jasho langu lina virutubisho vya kutosha kabisa.
huo mgahawa nakula kila siku kwa sababu bill inalipwa na ofisi my dear,nimebadili time table sana tu lakini mambo ni yale yale nikikaa tu nayeye anatokeza
Mkuu hata wewe umeshtuka ee, mi kidogo nivunje glass yangu ya wine aisee!
yaani hapa nina njaa na leo siendi ,nione kama hatokula leo
Jamani nisaidieni nifanyeje msichukulie utani.hapa nina njaa nikisema nikanywe hata juice ile tu wanasave na yeye anaingia mwee ni nini hiki?
Nashindwa kula mwenzenu
kweli simpendi sijui tu kwanini namuogopa