Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Muombe gemu utajua t kama mzoefu au anazuga ukishndwa ni pm nikusaidie kujua kama alivyobakwa ndo ilitoka au anauxoefu na dushe
 
mkifeli mitihani mnalaumu masomo magumu....


BTW kubakwa kashabakwa na hamna namna tena ya kuirudisha hiyo bikira tena..Labda mwambie aweke bikira feki uifaidi maana naona una uchungu nayo sana

Lol!!!!!!!
 
Huenda alikua na mazoea ya karibu sana na mbakaji hivyo kurahisisha tendo la ubakaji kuwa rahisi zaidi na labda aliingia kabisa chumba cha mbakaji na mbakaji akatimiza hilo.

Kama alibakwa itakuwa ni mara moja na kama ni mara moja uke wake unatofauti kubwa sana na aliyefanya zaidi na zaidi yaani mzoefu.

Kuna dada aliwahi niambia kua usichana wa mwanamke kutoka kwa mara moja na kwa siku moja ni ngumu japo uwezekano huo upo.

Pia kama ni kweli alibakwa inamaana hakuwa tayari na hivyo uwezekano wa kutoka kwa usichana wake ni mgumu sana tofauti na akiridhia yeye.

Kikubwa endapo mtakua na lengo hilo hilo la kutokutana kimwili mpaka siku mtakayooana, siku mkikutana utahisi kuwa wewe ndiye mwanaume wake wa kwanza kukutana kimwili.

Jiulize.
1.Mtu kubakwa tena akiwa na usichana wake inamaana sehemu waliyokuwepo hakukuwa na watu kabisa au alishindwa kupiga kelele kumbuka kubakwa+kutolewa usichana bila ridhaa.

2.Kwanini alishindwa kusema hata kwa dada yake?

3.Je alistahimili vipi maumivu hayo bila dada yake kumgundua kwa mabadiliko yoyote?

MyTake.
Unapaswa uwe makini maana wasichana wengi kwasasa wanatumia kivuli cha ubikra kuwahadaa wanaume na akiona bikra hana na siku za kuwa pamoja zinakaribia anahisi siku akija kutana nawewe ukose bikra atakosa cha kusema akaamua aandae mazingira mapema maana huenda amekupenda kwa dhati na amehofia kukupoteza.

Ila hupaswi umuamini sana japo hapaswi ajue kuwa haumuamini kuhusu hilo maana ikiwa ni kweli amebakwa atakuwa amekosa faraja ikiwa wewe hautikua upande wake.
 
Alibakwa au walikubaliana baadae malipo yakawa madogo akashingizia kabwakwa mwmbie aseme vizuuuuuuuri. Si mtt huyo mtumza tena
 
Mmh pole sana, ila siku ingine usikubali kukaa na mtu miaka mitatu hujamfukunyua.....
Ona sasa utando katolewa na mpangaji...
Cha kukushauri sahau yaliyopita na uanze kusex nae sasa coz hamna namna ingine
 
Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
Inaonyesha mara ya kwanza alikwambia kuwa yeye ni BIKRA, sasa kwa vile hana, katafuta namna ya kukuambia kuwa hana hiyo kitu
 
Kama alibakwa nategemea alienda hospital kwanza kupima afya hayo ya ulokole n.a. kuficha hofu ya Mungu vivumishi tu Sasa kama aliambukizwa ?
Hofu ya Mungu alafu unaficha dhambi haviendani
 
mkifeli mitihani mnalaumu masomo magumu....


BTW kubakwa kashabakwa na hamna namna tena ya kuirudisha hiyo bikira tena..Labda mwambie aweke bikira feki uifaidi maana naona una uchungu nayo sana
Bado kuna 0713
 
Ukiambiwa kua uyaone ndio haya sasa. Kuna mawili, alimpa mtu kitumbua sasa anatafuta namna ya kunyoosha maelezo, la pili inawezekana alibakwa kweli. I think ni kweli alibakwa, statistics zinaonyesha wasichana wengi wanabakwa bila ku-report, so sio ajabu kwamba hakusema.

Be a man, amua moja, and move on.
 
Pole yake!!
Alikosea sana kutokuripoti hilo tukio, sasa la maana ni kumpa moyo na kumfariji afanye hiyo mitihani yake vizuri
 
Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
Ushauriii! Soma acha utoto!tukio la ubakaji sio jepesi hivyo...nenda sokoni mshike binti tako baahati mbaya majibu utayopata uyabadili ndo ummembaka huyo binti....watch out!
 
Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
na ww kambake
 
Back
Top Bottom