Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Jamani!!! Thats too sad!!! Moyo umeniuma kweli...
Mpe pole na jaribu kumuweka karibu... Hilo tendo linaweza muathiri maisha yake yote!!!
Mpeleke akapime afya pia kama mbakaji hakutumia kinga (sijui wanatumiaga???).
Ingekua mapema angeweza shtaki ila kwa sasa sijui afanye nini!!!
 
Acha kabisa watoto wa shule, nani alikuambia msichana wa form six anaruhusiwa kuwa na mpenzi? Usikimbilie kuvaa suti kabla ya nepi.
 
100℅ hajabakwa!!. Aliona wewe mzembe sana na watu saiz wanataka starehe wewe unainhiza ulokole. Kama angebakwa angewaambia wazazi au ndugu wa karibu. So kinachofanyika ni yeye kuendelea kula raha na huyo jamaa na kama kaondoka atakuwa oeshatafuta mwingine. Wanawake wana sound na unaweza ukalia kwa kumuonea huruma kumbe gia tu. Sasa wewe endelea kulia lia hapa na unavyoonekana utamegewa mpaka unaingia kaburini.
Hili nalo laweza kua kweli!!! Ingekua ndo mimi hicho kitu kimetokea... Boyfriend ndo angekua wa mwisho kujua aisee!!!
Ila kama mkaka alithibitisha kua the girl ni virgin sidhani kama mdada anaweza fanya hilo kosa!!!
 
Hapa wengi watakuja kukuponda kuwa wanafunzi na nini wakati wengi tulianzia hukohuko.

Huyo binti anahitaji msaada wa kisaikolojia, kuliongea ni sehemu mojawapo ya kulitatua, ila analiongea kwa nani? Hapo ndipo penye shida, aanze kwa kuongea na mama yake na amueleze ukweli wotee na the way anavyojisikia then wamtafutie msaada wa kisaikolojia.
Sure?
 
Badala ya kusoma mnaanza kuleta mapenzi shule kwanz we mwenyew ujasema una umri gani. Alafu ujiulize kwa nini muhusika alinyamaza. Over!!
 
Huyo alipenda mchezo ndio maana akatulia, ama kaja na gear hiyo baada ya mdhamini wa bodi kutishia kuondoka asipopewa tunda
 
Hahaa ni mbinu yakukuonesha ni mwaminifu...ukweli ni kwamba katafta sababu ya kukwambia hana bikra ili usimuone muhuni,
Yawezekana katumika sana jarbu kuchunguza
 
Mademu wakiona umeng'ang'ania sana suala la bikra ndo unakuta wanasingizia hizo ishu.
Mzee hilo ni changa la macho cuz ameshakuona wewe ni Good boy. Na hili ni kosa kubwa sana... Anyway Karibu KIUMENI
Tuko pa1 mkuu
 
Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.

Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.

Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.

Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
Soma bwana mdogo papuchi zipo,huyo demu wako ni legendary wa kukutanisha kifanyio na kifanywa kakulisha matango poli
 
Sema alijichanganya mwana Akalaa afuu wewe alikuwa anakubania ukiamini mpaka ndoaa.!! Pole sana kijanaa... Achaa imani ya kipuuzi ya mpaka ndoa...ni ufalaa na ubashitee wasichana wenyewe wa siku hiziii...
 
Wala hajabakwa, ujana maji ya moto alishindwa kuvumilia akatoa!!......na amekuambia kuwa amebakwa kwa njia ya kujidefender ili usije ukamuuliza bikira iko wapi!!........ Na huenda sasa hivi ana mpenzi mwingine, kuwa makini utaachwa kwenye mataa!!...... Kwa taarifa yako wasichana huwa wanakuwa na hamu kuliko wavulana na kitendo cha kukuambia kuwa msifanye hadi ndoa ni unafiki tu na huenda anagawia mwingine/wengine!!.........Believe me!
 
Back
Top Bottom