Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

Naombeni ushauri: Mpenzi wangu amebakwa

pole! Ila mi nakushauri mkague kwanza. Maana utakuta ni mzievu wa hayo mambo ila nasingizia tu kua alibakwa ili usimwache. Alie fanya mara moja utamjua tu maana uke unakua bado unabana ata kama damu hazijatoka.
 
mkifeli mitihani mnalaumu masomo magumu....


BTW kubakwa kashabakwa na hamna namna tena ya kuirudisha hiyo bikira tena..Labda mwambie aweke bikira feki uifaidi maana naona una uchungu nayo sana
Huna huruma wewe huna tofauti na ibilisi
 
Mmmmmmmmmh

Pole kwako, labda uandike amekuambia yapi zaidi. Na juu ya dada yake alichukuliaje yaliyomtokea na anaishije na huyo jirani kwa kumuona kila siku etc
Huyo MTU alimbaka alipanga nyumba moja na Dada ake ambae alikuwa ameolewa na anaishi na familia yake hapo Siku ya tukio Dada ake mume wake walisafiri so alikuwa peke yake na huyo jamaa na sababu wanashea mlango mmoja wa nyumba ndo mana hilo tukio likafanyika, ameshindwa kureport sababu ya aibu hapendi familia yake na watu wengine wajue baada ya Dada ake kurudi huyo jamaa nae alihama. Na hilo tukio halijarudia tena baada ya hapo, ninamfahamu vizuri kitabia na ninajua asingeweza kunidanganya na hadi anaamua kuniambia Mimi sikuwa nimemuomba tufanye ngono yeye ndo aliniomba aniambie. Kitu kizuri hajapata ujauzito ila bado hajapima HIV pia alinambia hakupata magonjwa yoyote ya ngono.
 
bwana apprentice1997
kuwa makini

mtu amebakwa mwezi wa 12 leo utafanya nn, kuna nafas kubwa sana hapo kuwa anakudanganya tuu, kuwa makini jombaa
 
Unajua maana ya kubakwa? Apo kaliwa kihalal kabisa pole fanya yako kama kusoma soma tu
 
Msichana wa miaka zaidi ya 16 habakwi hata siku moja. Ukisha ingiza kichwa tu. Yeye anaanza kukatika.
 
Kwani mimi nimekwambia tufanane msimamo?
Hapana na haijalishi pia..Cha msingi endelea kumpa jamaa ushauri ambao unaona ni mzuri kwake halafu mambo mengine yaendelee mkuu.
 
Pole kijana,wameshakuwahi,,,,na kama ni mlokole lazma ataolewa na huyo jamaa mana atakuwa anaamini kila kitu kutokea kuna sababu....Huyo c wako tena, na kama jamaa alpiga game ya maana ndo bac tena
 
Back
Top Bottom