ophthalmic doctor
Senior Member
- Feb 12, 2017
- 191
- 249
Masaa 72 yakishapita hakuna uchunguz tena wala msaada wowoteNenda polis pata pf3,nenda hospital Dr athibitishe
Masaa 72 yakishapita hakuna uchunguz tena wala msaada wowoteNenda polis pata pf3,nenda hospital Dr athibitishe
Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.
Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.
Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.
Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
Huu ndio ukweli huyu dogo anachezeshwa dance asiyoijuaChunguza kama ni kweli alifanyiwa hivyo,usikote ameongea hivyo ili siku ukikuta sio bikra uwe ushajua kuwa she was raped,wanawake wanawake
Hahahaha chalii yuko blinded na mapenzi ya ki secondary yani hataki elewa kaka zake tunaomwambia ukweli eti. Namuonea huruma anadanganywa kizembe na kuna kubwa zaidi litamfika huyo demu wake akishaanza chuo.Time will tell!Tatizo dogo anamtetea kwa kila hali... Yupo tayari hata kugombana na wanaomshauri! Sikiliza dogo mwanamke hata umjue vipi they're very tricky! Huyo alipitiwa na ibilisi.. Kwa vile anakuona you are a real good boy.. Amekuja na hii kitu! Ni mwongo.. Wewe Piga kitabu Safari ya hizo Mambo bado Sana utakutana na sarakasi kali zaidi mbeleni huko. Na wala usijipe hope kuwa my be utamwoa no! Hizo ni ndanganyana time za school tu... The real deal bado Sana!
Dogo kashaonekana kilaza, ila hataki kuamini bcoz ya true love uchwara. Demu kashapigwa sana huyo ila anataka ku justify uongo wake tu.Huu ndio ukweli huyu dogo anachezeshwa dance asiyoijua
Kwel aseme umri wake maaanaUna umri gani.. Isije na Sie tukakubaka na ushauri wetu.. Ukashindwa hata kumaliza Shule..
Kama hamna cha kuchangia afadhali mkae kimya. Haya matukio yanatokea sana. Wasichana wanabakwa na watu waliowazoea na kuwaamini. Hata kama ni stori ya kutunga kuna cha kujifunza hapa.
Kwasababu ushahidi (forensic) kwa muda huu ushapotea, atashtaki vipi? Ataeleweka vipi? Haya ndio mambo tunapaswa kujifunza na wapo watu wazoefu wa mambo haya humu, wewe kama hujui au huoni umuhimu wa thread kama hii kwanini usipite kimya tu?
Ni kweli kuna ubakaji upo ila wasichana wengi waliowaaminisha wapenzi wao Ni mabikira kumbe Ni kinyume chake husingizia nilibakwa akijua cku siyo nyingi ataenda kubainika kuwa cy bikira nimeisikia Mara nyingi has a Dada zangu wanao sali kwani inawawia vigumu kusema bikra Hanna.Nina mpenzi wangu wote tunasoma a level ana miaka 19, tuna date sasa mwaka wa 3 tulikubaliana tusisex had tutakapokuwa tayari, tunapendana na tuna mipango mingi future. Jana wakati tuna chat alinambia kuwa mwezi wa 12 alipokuwa likizo alibakwa na mpangaji anayekaa nyumba moja na Dada yake na kumsababishia apoteze usichana wake.
Mwanzoni nilipaniki nikidhan labda alinicheat ila baada ya kunambia vizuri ninamuonea huruma sana kwa sababu Nina muamini yeye ni mcha mungu sana na alikuwa anatunza usichana wake sababu ana hofu ya mungu na hakupenda kumpa zawad ya usichana wake MTU ambaye amembaka.
Bahati mbaya hakureport hilo tukio kokote Jana ndio akaamua aniambie mm ukweli. Nimejaribu kumbembeleza asahau yote nimeshindwa na ninaumia kwa kuwa ni MTU ninayempenda sana na mwezi wa 5 anatakiwa afanye mtihan wa form six.
Please naombeni ushauri nimsaidie VP kwa kuwa hata familia yake haijui chochote ameamua kuniambia Mimi ili angalau moyo Wake utulie.
Ndio huyu mmoja sasa.....Form six bikra?????
Wewe jamaa ni zuzu.
Form six bikra ni mmoja kati ya mia moja
Excellent.... She's trying to win the boy's trust.Chunguza kama ni kweli alifanyiwa hivyo,usikote ameongea hivyo ili siku ukikuta sio bikra uwe ushajua kuwa she was raped,wanawake wanawake