Naombeni ushauri kwa huyu mwanamke

Naombeni ushauri kwa huyu mwanamke

kwenda huko , yani wewe umgonge mtoto wa watu, umpikilishe kwenye jiko lako la kuinama plate moja, akufulie afanye usafi na bado unalalamika kutumia hela yako ya emergency ,... kama unataka kumfaidi kaoe huko ,,.. yani nadhani mimi ungekuwa umeshaandika thread ukiunganisha nikitabu cha page 300, we soma kwanza jijenge halafu oa acha hayo mambo wacha akugombeze kabisa na kukutoboa hayo macho
Ha ha ha Haaaa!
 
Mwenza wa kiume huwa anaweza kabisa kumsaidia mwenzake kazi out of goodwill sio kwa sababu mwanamke kadindisha.Kama hujamwoa anadindisha je ukimuoa?
Jiongeze....
Muulize ukimuoa hatoleta mgomo?Mbona hela za matumizi na lotion anachukua?
Mkuuu naomba unishauli yy leo anarudi saa tatu usiku vipindi vyake vitakuwa vimeisha Mimi vipindi vimeisha nipo geto now je kigentromen nioshe vyombo na nipike au nikaushe
 
Wewe bado mvulana .........ukisha kua mwanaume ntakuja kuchangia
 
Ndiyo maana come we stay siitaki hata kuisikia, mambo ya kupika, kufua ilihali baba yangu hakufahamu inahusu.
 
Mkuuu naomba unishauli yy leo anarudi saa tatu usiku vipindi vyake vitakuwa vimeisha Mimi vipindi vimeisha nipo geto now je kigentromen nioshe vyombo na nipike au nikaushe
Kwa kweli umeshikika...
Inaonekana una hofu kubwa sana iwapo atakuta hujafanya usafi[emoji23][emoji23]
Fanya usafi mkuu siku ipite...
Ila ungekuwa kaka yangu ningesikitika sana.
 
sikubaliani na wewe basi wewe jikubalie mwenyewe na mimi huku nijikubalie mwenyewe.. haya
[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] c ndio! Heshimu mawazo yako... Nami ntaheshimu ya kwangu.... Hahahahahaaaaa... Jf ni raha sana!
 
Cpendi mwanaume mvivu km ww kwan kumsaidia kuosha vyombo ungepungukiwa nn
 
Unajua wengi humu ndani wana masihara mengi.. .huyu mwenzetu anayo Nia ya kumfundisha mtarajiwa wake namna ya kupambana na maisha,... Kwani wangapi wanaishi miaka kibao na kuzaa watoto bila hiyo mahari.... Huyo Mke kaegesha tu hapo, anatembea na ramani yake mwenyewe
na huyu jamaa si muamini hivi lazima ata osha vyombo hivo, sjuagi watu hua wana waza ni i kwenye mahusiano wakat wanaziona red flags kabsa
 
Kwann mnawapa wanawake kila kitu mbona mnakaribisha kudharauliwa..kila siku tunaimba humu ukimpa mwanamke kila kitu mwisho wa siku dharau ila hamuelewi *****...sasa tulia akwambie ulikuwa unajikomba yeye hakuwa na shida ya na huduma zako.....halafu dogo mamboya cohabitation hayo uwaga yanaishia geti la chuoni pale ambambo kila mtu kachukua digirii yake...km kuna mwanamke hasara ni ambaye hawezi kufanya majukumu ya kike au anafanya kwa manung'uniko...kufua.kuosha vyombo.kupika.usafi
 
mkuu kibovu unamhudumia wakati bado hujamuoa kwani wewe babake?..wewe mtimue kisha tafuta kidada kizuri cha kujinufaisha..kwa vile hela si tatizo kwako waweza ukaajili mfanyakazi awe anasaidiasaidia kwenye shughuli za getoo
 
Back
Top Bottom