Kibovu kaka, hapo huna mke. Kwanza hana fadhila, wanawake wote humu watamtetea mwenzao lakini ukweli ubaki kuwa ukweli huyo hakufai. Kile kitendo cha kukaa naye tu geto kwa mwanamke muungwana wewe usingejifulia, kupika wala kuosha vyombo wala kuhangaika na usafi labda ukipenda mwenyewe. Hapo hata ukimchumbia jua akipata kazi huna chako atakupuuza.
Maana keshasema akipata kazi ataondokana na hayo mambo. Huyo hakupendi, yupo kwako kwa sababu unamsaidia naye amejitoa rehani kutumika kimapenzi kwa kipindi hiki mpaka mambo yake yatakapokaa sawa.
Ushauri wangu achana naye.
We don't beg, we negotiate.