Siwezi kusema kuwa anafaa au hafai kwa visa viwili hivi vya kugoma kazi na kususa.Ada mwiko kulipa mkuuu hela za matumiz ntatoa swali ni je ananifaaa kuwa mke
Mkuuu umeongea pointi kubwa sana manake baada ya mahojiano nae Jana akasema yaaani mungu anisaidie nipate kaz niachane nahaya mambiKama mmekaa miezi sita unaishi nae Kama mkeo, ukimtimizia huduma zote, alipaswa akutendee kadri ulivyomtendea...huyo hakufai, atakuhangaisha sana. Dogo ndoa ukikosea kuoa utajuta. Mwanamke mjanja huficha makucha yake awapo ktk uchumba, sasa Kama huyo ameshindwa kipindi hiki, kwenye ndoa atakuua kwa pressure
Anakutumia,kwa vile na wewe unamtumia kingono.Je una mpango wa kuoa?Mshangae na ww
Mkuuu umeongea pointi kubwa sana manake baada ya mahojiano nae Jana akasema yaaani mungu anisaidie nipate kaz niachane nahaya mamboKama mmekaa miezi sita unaishi nae Kama mkeo, ukimtimizia huduma zote, alipaswa akutendee kadri ulivyomtendea...huyo hakufai, atakuhangaisha sana. Dogo ndoa ukikosea kuoa utajuta. Mwanamke mjanja huficha makucha yake awapo ktk uchumba, sasa Kama huyo ameshindwa kipindi hiki, kwenye ndoa atakuua kwa pressure
Sasa mkuuu naomba unishauli yy Leo drsn anatoka saa tatu usiku Mimi nimeshatoka ili nionekane gentlemen nioshe vyombo na nipike au nikausheSiwezi kusema kuwa anafaa au hafai kwa visa viwili hivi vya kugoma kazi na kususa.
Ila kwanini usimchumbie ili afue vizuri?Maana kiupande wako unawajibika kama mme,upande wake anakataa kutoa baadhi ya service za mke kwa kuwa hujamchumbia,ila ni kama aina maana kwani alitegemea akija hapo atakuwa analala tu?Ni dalili ya kiburi huenda ikabadilika.Lakini kama ndio tabia yake pole sana...mrekebishe.Mchumbie
yaani jamaa ana muhudumia kwa kila kitu, na hela ya emergenc imeliwa, bado afanye kazi za ndani!?kwenda huko , yani wewe umgonge mtoto wa watu, umpikilishe kwenye jiko lako la kuinama plate moja, akufulie afanye usafi na bado unalalamika kutumia hela yako ya emergency ,... kama unataka kumfaidi kaoe huko ,,.. yani nadhani mimi ungekuwa umeshaandika thread ukiunganisha nikitabu cha page 300, we soma kwanza jijenge halafu oa acha hayo mambo wacha akugombeze kabisa na kukutoboa hayo macho
Kweli. Hapa kuna katatizo.Na yeye mwanamke kama anajua hajatolewa mahari pale anafanya nini?Anagharamiwa kila kitu,kasoro ada...kazi ndio hataki?.
Mwenza wa kiume huwa anaweza kabisa kumsaidia mwenzake kazi out of goodwill sio kwa sababu mwanamke kadindisha.Kama hujamwoa anadindisha je ukimuoa?Mkuuu umeongea pointi kubwa sana manake baada ya mahojiano nae Jana akasema yaaani mungu anisaidie nipate kaz niachane nahaya mambo
Sasa mkuuu naomba unishauli yy Leo drsn anatoka saa tatu usiku Mimi nimeshatoka ili nionekane gentlemen nioshe vyombo na nipike au nikaushe
Unajua wengi humu ndani wana masihara mengi.. .huyu mwenzetu anayo Nia ya kumfundisha mtarajiwa wake namna ya kupambana na maisha,... Kwani wangapi wanaishi miaka kibao na kuzaa watoto bila hiyo mahari.... Huyo Mke kaegesha tu hapo, anatembea na ramani yake mwenyeweMkuuu umeongea pointi kubwa sana manake baada ya mahojiano nae Jana akasema yaaani mungu anisaidie nipate kaz niachane nahaya mambi
bro huyo hafai, sasa wanao sema eti ndio uka muoe kabsa wanataka wakuue, miez sita tu kasha kuzoea sasa mkikaa miaka 10 atakuwa anafanyaje!? halaf kuishi na mtoto wa kike aliye chuo kama hujamuoa huji kumuoa huyo, kesi kama zako nazifahamu nyingi sana.Ada mwiko kulipa mkuuu hela za matumiz ntatoa swali ni je ananifaaa kuwa mke
kwa mimi naona sawa tuyaani jamaa ana muhudumia kwa kila kitu, na hela ya emergenc imeliwa, bado afanye kazi za ndani!?
thats pathetic!!!
Una mawazo yalokomaa..Mwenza wa kiume huwa anaweza kabisa kumsaidia mwenzake kazi out of goodwill sio kwa sababu mwanamke kadindisha.Kama hujamwoa anadindisha je ukimuoa?
Jiongeze....
Muulize ukimuoa hatoleta mgomo?Mbona hela za matumizi na lotion anachukua?
Mkuuu nilikaa nae siku moja nikamuambia nikikuoa utakuwa unanihudumia kila kitu akasema ntakuhudumiaa aswaaMwenza wa kiume huwa anaweza kabisa kumsaidia mwenzake kazi out of goodwill sio kwa sababu mwanamke kadindisha.Kama hujamwoa anadindisha je ukimuoa?
Jiongeze....
Muulize ukimuoa hatoleta mgomo?Mbona hela za matumizi na lotion anachukua?