kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Mda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye ananiambia kuwa anamalizia kazi. Me niko Morogoro yeye anasema yuko Kibaha.
Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nishaurini nichukue hatua gani Maana nahisi kama nimeibiwa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app