Naombeni ushauri kuhusu hawara yangu

Naombeni ushauri kuhusu hawara yangu

Nakumbuka siku moja tukiwa tumelala. Nilimwangalia wife akiwa amelala nikajisemea moyoni "...nina mke mzuri anayejitambua, kwanini nahangaika na mchepuko..." nilitafakari kesho yake nikapiga chini mchepuko.

Angalizo: wanaume tuhakikishe upendo haupoi na kuwa mazoea kwa wenzi wetu.
 
Back
Top Bottom