Naombeni ushauri kuhusu hawara yangu

Naombeni ushauri kuhusu hawara yangu

Ebwanaeee pole kwanza mzee mwenzangu. Ushauri wangu ni huu. Mchukue mkeo toka naye mazingira ya nyumbani mwende mkalale hotelini. Then mweleze ukweli na mpigie magoti kumwomba msamaha na umwambie hurudii tena. Nakuhakikishia utarudi kunipa majibu
Nadhani umenipa jibu ambalo sikutegemea. Ntafanya hivyo mkuu, afu ntarudisha ushahidi humu ndani. Akinitoka moyoni sitakurupukia tena michepuko dizaini yake. Maana ana ni bachela wa kike, mwenye mtoto mmoja. Inawezekana humu jf yumo
 
Wewe kama uko kwenye ndoa unajua unachopaswa kufanya (kwa akili ya kawaida). Sasa unapokuja kuomba ushauri kwa mambo ambyo unajua cha kufanya au unajua unachotakiwa ukifanye basi napatwa na wasi wasi kidogo na afya ya akili yako. Kuna haja kubwa ya Serikali ya Awamu ya Tano kuweka kipaumbele kwenye afya ya akili.
 
Huna hadhi ya kuotwa mume wa mtu. Hiko cheo kime kupwaya...
Kama kweli umeoa na akili zako ndio hizi... Mungu akurehemu
 
Mpuuzi kweli wewe. Sasa wewe mwenyewe Una maamuzi yako moyoni,unataka ushauri wewe?? Ikiwa wano kufahamu wanakushauri na hauelewi, ss tusiokufahamu Ndio utatuelewa.
 
Kwanini usiombe ushauri kwa anayeibiwa ukajua maoni yake pia.
 
Ningekuwa karibu yako ningekukoa ili uamke usingizini eti hawala..... mke wangu ananipenda bla bla.... Wewe ulitakiwa upate mke kimeo akunyooshe
 
Kinachowanunisha ni nini???
tuanzie hapo,kama ni ela humpi huyo muache aende ila kama umeongeza mchepuko/hawala mwingine basi anakupenda kwa kukemea tabia mbaya
 
Jamaa kazimikia mauno ya hawara...

Nijibu kwanza hili swalikabla sijakunasua..

Huyo mchepuko wako kabila gani?
 
Back
Top Bottom