Utakuta huyo HAWARA sura kama SAFARI BUTI . Bado unajipendekeza KULA KONA FASTER HAKUFAIJamani mimi nina mke tena mzuri wa tabia na watoto, namheshimu kwa sababu ananipenda na kunijali. Kama mada ilivyo, tangu mwaka jana nilikutana na dada mmoja anafanya kazi serikalini nikatokea kumtamani sana. Kama mwanaume nikakomaa nikampata akawa hawala yangu mpaka sasa. Kuna kila dalili kuwa hanipendi lakini kwa sababu nilishamuweka moyoni nashindwa kumwacha na mara nyingi ananijibu anavyojisikia. Huwa nakasirika lakini kwa sababu kwa majibu yake lakini nikitaka kumjibu najiuliza sana, anaweza kuniacha... lakini mwishowe naamua kuuchuna. Hivi siku mbili zilizopita tulikosana hakunitafuta mpaka nilipomtafuta nikaamua kujishusha ili yaishe. Sio hilo tu, mara nyingi tu ananijifanya yeye ndio kidume mimi chini yake. Wanawake wengine wananiambia kwa nini nahangaika na huyo mwanamke, (ambao wao wanamwona hana uzuri) wakati mke wangu ni mzuri? Siwaelewagi naona kumpoteza ntateseka sana moyoni.
NAOMBENI USHAURI NIFANYE NINI ILI NIMCHUKULIE POA? NAUMIA SANA HATA LEO TUMENUNIANA NAE
Atakuwa kakufanyia mamboJamani mimi nina mke tena mzuri wa tabia na watoto, namheshimu kwa sababu ananipenda na kunijali. Kama mada ilivyo, tangu mwaka jana nilikutana na dada mmoja anafanya kazi serikalini nikatokea kumtamani sana. Kama mwanaume nikakomaa nikampata akawa hawara yangu mpaka sasa.
Kuna kila dalili kuwa hanipendi lakini kwa sababu nilishamuweka moyoni nashindwa kumwacha na mara nyingi ananijibu anavyojisikia. Huwa nakasirika lakini kwa sababu kwa majibu yake lakini nikitaka kumjibu najiuliza sana, anaweza kuniacha lakini mwishowe naamua kuuchuna.
Hivi siku mbili zilizopita tulikosana hakunitafuta mpaka nilipomtafuta nikaamua kujishusha ili yaishe. Sio hilo tu, mara nyingi tu ananijifanya yeye ndio kidume mimi chini yake. Wanawake wengine wananiambia kwanini nahangaika na huyo mwanamke, (ambao wao wanamwona hana uzuri) wakati mke wangu ni mzuri? Siwaelewagi naona kumpoteza nitateseka sana moyoni.
NAOMBENI USHAURI NIFANYE NINI ILI NIMCHUKULIE POA? NAUMIA SANA HATA LEO TUMENUNIANA NAE
asante kwa ushauri mzuri, ila nikijaribu kumwacha naumia moyoni,,, namrudia. Nimejaribu mara nyingi tu nashindwaAliwazalo mjinga ndilo humfika, hongera shemeji endelea kumuendekeza hawala ila ipo siku litakufika akili itakufunguka
Inawezekana ni kweli,, sasa nifanyeje ili nijinasue?Atakuwa kakufanyia mambo
Natamani kweli njia kuu, ila sijui kuna kitu gani hapa. Nashindwa kumwachaTamaa zako mbaya zimekuponza...Acha kuugua mapenzi piga chini...Baki njia kuu
itakuwa mkuu. Sometimes nawaza kumwoa wakati miiko ya imani yangu hairuhusuPole sana, hayo ni matokeo ya uzinzi. Umeshikwa masikio kiongozi.
kama kuna mtu ilishamtokea na akaweza kujinasua. Au kuna mtu anajua dalili za limbwata aniambie ndo yenyeweMkuu iv apa tukushauri nn sasa
🙁 nikijua umewini hapo, sitlala siku hiyo. presha zitaniuaNaomba namba yake