Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 451
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.
Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lakini yeye tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).
Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)
Umri wake ni mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001
Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ananambia kuna wanaume ambao wanamu-approach kwa ajili ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti anawindwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.
Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu maana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzuri, she is completely wife material.
Jana usiku amenitumia screenshot za chats za jamaa ambaye ni engineer jamaa anamwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.
Ugumu unakuja hapa, mimi bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu hali si nzuri hata kidogo, kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.
Naona kabisa huyu binti nitamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, natamani kumwambia akubali hao wanaomchumbia lakini sijui atapokea vipi, maana tunapendana , na mimi napotazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza kubwa sana.
Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ananipenda na mimi pia na mpenda sana.
Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila.
Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lakini yeye tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).
Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)
Umri wake ni mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001
Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ananambia kuna wanaume ambao wanamu-approach kwa ajili ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti anawindwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.
Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu maana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzuri, she is completely wife material.
Jana usiku amenitumia screenshot za chats za jamaa ambaye ni engineer jamaa anamwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.
Ugumu unakuja hapa, mimi bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu hali si nzuri hata kidogo, kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.
Naona kabisa huyu binti nitamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, natamani kumwambia akubali hao wanaomchumbia lakini sijui atapokea vipi, maana tunapendana , na mimi napotazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza kubwa sana.
Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ananipenda na mimi pia na mpenda sana.
Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila.