Naombeni ushauri kaka na dada zangu

Naombeni ushauri kaka na dada zangu

Huyo mwanamke hakupendi na wala hakuheshimu,kitendo cha kukutumia screen shot ya chat zake na wanaume wengine ndio kingehitimisha mahusiano yenu,

Achana nae,weka akili yako kwenye masomo,kwa umri wako inawezekana kabisa kua huyo ndio mwanamke wa kwanza kwako kupendana nae na ndio maana unaumia,

A bright future is waiting for you,u just have to open your eyes,just focus mambo yako ya masomo.
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_20230808-191905_Instagram.jpg
    Screenshot_20230808-191905_Instagram.jpg
    84.1 KB · Views: 5
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lkan yeye Tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)

Umri wake ni Mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ana nambia kuna wanaume ambao wana mu approach kwa ajiri ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu mana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzurui, she is completely wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer jamaa ana mwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.

Ugumu unakuja apa mm bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu Hali si nzuri hata kidogo,kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti tamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, nataman kumwambia akubali hao wanao mchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana , na mimi napo tazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza Kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ana nipenda na mimi pia na mpenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila
Ila vijana wa sasa hivi sijui huko shule mnasomea nini, yaani kila kitu ni ushauri tu, hata vingine vya kuamua mwenyewe, mapenzi siyo uwezo au pesa, kwanza ni upendo mengine yanafywata.

Kiujumla huyo binti hayuko tayali kuolewa na wewe, yuko kimaslai zaidi kwa uzuri wake
 
Yanini kuharakia maisha? Bado umri wako ni mdogo na unahitaji muda zaidi wa kujijenga kimaisha na kuisaidia familia yako, mapenzi yalikuwepo na yataendelea kuwepo mdogo wangu. Tafuta hela kwanza, mke huwa anakuja automatically na kwa wakati ulio sahihi
 
Miaka 22 mwaka wa pili unang'ang'ana na binti aliyemaliza chuo?

Hata kama mngekuwa mmemaliza wote, bado ungekuacha na aolewe na mtu mwenye maisha.

Wewe zingatia masomo huyo siyo size yako.

Huyo Injinia atakuwa kazaliwa miaka ya 80 au tisini, yaani watu hawa wana maisha tayari na tunapendwa haswa.

Sasa wewe mwanangu wa 2001, subiri wasichana wwaliozaliwa 2010 ambao sasa hivi wana miaka 13, ambapo 2033 watakuwa na 23 years na wewe ukiwa na 32 na miasha juu.

Kupanga ni kuchagua. Mwanaume anapanda chati kadiri umri unavyokwenda.
Kama hajakuelewa wewe hatomuelewa mtu mwengine yeyote
 
Kutokana na maelezo yako inaonesha huyo mwanamke sio wife material ila ni mtu mwenye tamaa ya maisha...anatamani vya waliofanikiwa. Mwache aende lkn mpe muda kama ataweza hiyo ndoa mm nimekaa pale

Pili ww acha tamaa ya fisi.. mtaka mawili kwa pupa hukosa yote na mshika mawili Moja humponyoka. Focus na maisha Yako...ndoa ipo tu lakini maisha yakiharibika ndio basi tena. Huyo mwanamke atakukosesha masomo Kisha atakuja kukuacha utakapoharibikiwa maisha.
Focus ahead brother!
 
Kama uliwahi kupiga, mwambie ukweli wewe huna maisha bado una jitafuta sana. Kama ana kupenda kweli akuvumilie, kama hawezi kukuvumilia aolewe tu wewe huna neno. Japo una mpenda kweli ila kuendelea kubaki nae na yeye kuna mijitu yenye maisha yao ina mfuata una ona ni kumzibia ridhiki basi aolewe tu.
Na kama hajawahi kupiga apige kwanza kisha ndo amwambie hivyo, asiache aende hivi hivi.
 
Heeee! Tutakuonea huruma tu mdogo wetu. Cha msingi, focus on your studies na ujenge maisha yako. Siuoni mwisho mwema katika hayo mahusiano. All those red flags 🚩 you shouldn’t ignore 😅, she is out of your league.
 
Miaka 22 mwaka wa pili unang'ang'ana na binti aliyemaliza chuo?

Hata kama mngekuwa mmemaliza wote, bado ungekuacha na aolewe na mtu mwenye maisha.

Wewe zingatia masomo huyo siyo size yako.

Huyo Injinia atakuwa kazaliwa miaka ya 80 au tisini, yaani watu hawa wana maisha tayari na tunapendwa haswa.

Sasa wewe mwanangu wa 2001, subiri wasichana wwaliozaliwa 2010 ambao sasa hivi wana miaka 13, ambapo 2033 watakuwa na 23 years na wewe ukiwa na 32 na miasha juu.

Kupanga ni kuchagua. Mwanaume anapanda chati kadiri umri unavyokwenda.
Umemaliza mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom