Naombeni ushauri kaka na dada zangu

Naombeni ushauri kaka na dada zangu

Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lkan yeye Tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)

Umri wake ni Mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ana nambia kuna wanaume ambao wana mu approach kwa ajiri ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu mana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzurui, she is completely wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer jamaa ana mwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.

Ugumu unakuja apa mm bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu Hali si nzuri hata kidogo,kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti tamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, nataman kumwambia akubali hao wanao mchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana , na mimi napo tazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza Kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ana nipenda na mimi pia na mpenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila
Olewa wewe instead.
 
Leo unamuona mrembo sana, lakini nakuhakikishia baada ya miaka mitano kupita utajiona kama unalingana na mwanae, utakua unamuona kama amezeeka.
By the way, ulitakiwa utandikwe viboko ili akili ikukae sawa maana naona umesha sahau tulikutuma shuleni ukasome na sio ukat@mb€
Penzi kitovu cha uzembe.
 
......she is completely wife material....mwache aendee (kwa moyo mweupee kabsaaa), hizo screen short ni trailer movie bado hujaiona kwenye chart anazofanya na nyaume wengineee.
 
Wakuu nipeni ushauri mdogo wenu.

Nipo kwenye mahusiano na huyu binti kimsingi tulianza mahusiano kipindi nipo mwaka wa kwanza chuoni (hivi sasa nipo mwaka wa pili), lkan yeye Tayari hivi sasa kamaliza masomo na yupo nyumbani (amesoma Diploma ya clinical medicine).

Lengo la mahusiano yetu ni badae tuanzishe familia kwa pamoja ( kufunga ndoa)

Umri wake ni Mkubwa kwangu ananizidi miaka miwili Mimi ni wa 2001

Ni zaidi ya mara manne sasa huyu binti ana nambia kuna wanaume ambao wana mu approach kwa ajiri ya kumuoa, hata rafiki zake wa kike mara nyingi huniambia kuwa huyu binti ana windwa na wanaume wengi tena ambao wapo seriously na wenye maisha yao.

Ofcourse hata mimi naweza ku confirm hicho kitu mana she is beautiful pia ana akili na ufahamu mzurui, she is completely wife material.

Jana usiku amenitumia screenshot za chating za jamaa ambae ni engineer jamaa ana mwambia kabisa anataka kumuoa mwakani na yupo seriously.

Ugumu unakuja apa mm bado nipo chuo tena maisha yangu ni kawaida sana, na nyumbani kwetu Hali si nzuri hata kidogo,kiufupi bado na safari ndefu sana ya kujitafuta kimaisha.

Naona kabisa huyu binti tamchelesha kwenye maisha anayotaka, na yeye anajua hali yangu hiyo, nataman kumwambia akubali hao wanao mchumbia lakini sijui atapokea vipi, mana tunapendana , na mimi napo tazama safari ya maisha yangu bado naona ukungu na giza Kubwa sana.

Sitaki kumzibia riziki huyu binti, najua ana nipenda na mimi pia na mpenda sana.

Hapa nipo njia panda, sijui nifanye maamuzi gani kwa manufaa ya Kila
Bwana mdogo embu piga kitabu huyo mrembo muache aolewe utakuja kupasha kiporo siku ukipata vihela kidogo

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom