KERO Chuo cha Mipango Mwanza hawaja-submit matokeo yangu ya Diploma One

KERO Chuo cha Mipango Mwanza hawaja-submit matokeo yangu ya Diploma One

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mimi ni mwanfunzi wa chuo cha mipango cumpus ya mwanza nimemaliza diploma two mwaka huu nimeshindwa kuendelea na maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa ajili ya kujiunga na degree sababu NACTVET hawaoni matokeo yangu ya diploma one.

Hali hiyo imefanya nimekosa AVN na mpka sasa sijui hatma yangu ya kuendelea kusoma.

Nimewafuata ofisi ya mitihani chuoni majibu wanayonipa hayaridhishi kabsa nimejaribu kumpigia mkurugenzi wa chuo mpk leo ajapokea simu.

Serikali ya wa MISO ndo haina msaada kabsa naomba wizara ya elimu inisaidie ikiona taarifa hizi me nina hitaji kusoma, mbaya zaidi imepelekea ugomvi na wazazi wanahisi sijasoma diploma nilikiwa ninawadanganya.
 
Back
Top Bottom