Naombeni ushauri chuo kizuri kwa diploma ya electric engineering

Naombeni ushauri chuo kizuri kwa diploma ya electric engineering

Sawa Kaka nimekuelewa Ila kuna watu wamesema kuna mechanical engineering vp kuhusu hiyo
 
Sawa Ila ningependa kujua Zaid pia uhakika wa kazi

Samahani kaka na ajira zinapatikana kwenye electric
Mdogo wangu nakuonea huruma!! Usisome kitu kwa sababu kina ajira au hakina! Soma kitu unapenda hata kikiwa hakina ajira miaka ijayo bado hutajuta!! Kwa serikali hii ya sasa mawazo ya ajira futa kabisa....soma upendacho hayo ya ajira hayana msingi sana dogo!

Assume leo civil au ele ina soko...ikitokea after five years ikiwa haina soko what are u going to do??
 
Na vipi kuhusu chuo kizuri mimi nipo na vyuo Vinne mkononi kuna ATC DIT ST. JOSEPH UNIVERSITY Na must kip kizuri
 
Jamani naombeni ushauri mimi nimemaliza form four 2016 nimepata division two nataka kwenda chuo kuchukua diploma ya electric engineering.

Je ni chuo gani ni kizuri kwa electric engineering na pia je ni engineering ipi itakuwa na soko pana la ajira baada ya miaka mitatu.
Nenda mbeya technical think is the best among the best in Tanzania.
 
We Bwana mdogo hueleweki nini unataka kabisa yani unauliza kazi ile hali hata Admission hujapata kama unataka ajira za direct nenda unesi/udakatari au Ualimu mana naona uhandisi haukufai kabisa na utaliwa kichwa mapema ukienda Technical colleges
 
We Bwana mdogo hueleweki nini unataka kabisa yani unauliza kazi ile hali hata Admission hujapata kama unataka ajira za direct nenda unesi/udakatari au Ualimu mana naona uhandisi haukufai kabisa na utaliwa kichwa mapema ukienda Technical colleges
Kwanini samahani
 
Mkuu hongera kwa kutamani Uhandisi , Je kwenye zile fomu za o level First priority uliweka Technical colleges kama uliweka ivo utakuwa selected Direct na serikali wata ku sponsered ila kama uliweka advance first priority na ukawa selected huko then uombe nacte kwenda Technical colleges basi utakuwa private sponsored itajitegemea kila kitu, Vyuo Vya uhandisi kwa Ngazi hio vinajulikana mbona na curriculum zao zina fanana fanana ni Arusha Technical colleges (ATC), Dar es salaam institute of Technology (DIT), na mbeya university of science and technology ( MUST) Vyote viko bomba na nakushauri kama unaupenda Umeme ww usome tu unalipa Course nzuri ni Core course kama Eletrical, Civil na mechanical ziko poa sana ingine ni AutoElectric and Biomedical Equipment engineering kwa dit na kwa ATC ni Electrical and Biomedical engineering
Wewe unafahamu sana! Hongera! Mie nimepiga umeme Dit
 
Back
Top Bottom