Sawa mkuu Ila si naweza nikachukua hata form za kuomba kuingia DIT
We Bwana mdogo hueleweki nini unataka kabisa yani unauliza kazi ile hali hata Admission hujapata kama unataka ajira za direct nenda unesi/udakatari au Ualimu mana naona uhandisi haukufai kabisa na utaliwa kichwa mapema ukienda Technical colleges[/QUOTEn
kaka naomba unijuze vipi kuhusu ada dit ni kiasi gani kwa wale wa indirect entry
Kuna mdau kakushtua Upeleke maombi wizarani Mapema before selection ili upate ufadhili moja kwa moja wa serekali wakati post zinatoka ww utatupiwa Technical, Zote ziko poa sio DIT au ATC wala MUST ziko njema zote ikikosa hio post ya direct subiri mwezi wa tano Baraza la Ufundi NACTE kupitia Central admission system (CAS) Watafungua Dirisha la maombi utajisajili na kujaza course tatu utakazo na Vyuo after all Utangoja selection Muda wa kufungua ivo vyuo ni Mwezi wa kumina utaratibu hadi niweze kujiunga
Soma civil au mechanical engineering, electrical haina issue imeingiliwa na watu veta mno
Wewe unafahamu sana! Hongera! Mie nimepiga umeme Dit
2014umemaliza mwaka gani mkuu
Hapo mwenye diploma si anakuwa juu ya yule wa veta au nimekoseamtu wa vetaa ana nafasi yke na technician ana nafasi yake....kwa mimi nmemaliza mwaka juzi diploma electrical wote tumepata kazi lakini kuna baadhi ya civil mpk leo wana randa randa
Hapo mwenye diploma si anakuwa juu ya yule wa veta au nimekosea
Na sense akasome Mbeya UniversityPiga diploma ya civil utakua safe zaidi kuliko electical
Nashukuru kwa kumpa ushauri mzuri ila kwa fani ya Autoelectrcal au Biomedical ni shida mtaani zina fursa chache sana za ajira so kwa mimi nakushauri komaa na Electrical ni nzuri sanaaaaMkuu hongera kwa kutamani Uhandisi , Je kwenye zile fomu za o level First priority uliweka Technical colleges kama uliweka ivo utakuwa selected Direct na serikali wata ku sponsered ila kama uliweka advance first priority na ukawa selected huko then uombe nacte kwenda Technical colleges basi utakuwa private sponsored itajitegemea kila kitu, Vyuo Vya uhandisi kwa Ngazi hio vinajulikana mbona na curriculum zao zina fanana fanana ni Arusha Technical colleges (ATC), Dar es salaam institute of Technology (DIT), na mbeya university of science and technology ( MUST) Vyote viko bomba na nakushauri kama unaupenda Umeme ww usome tu unalipa Course nzuri ni Core course kama Eletrical, Civil na mechanical ziko poa sana ingine ni AutoElectric and Biomedical Equipment engineering kwa dit na kwa ATC ni Electrical and Biomedical engineering
Hivo ni vile venye we unaona, by the way ingekua mm ningemshauri tu akasome civil mie ndugu yangu nimemaliza diploma mwez wa nane mwaka jana sijakaa hata wiki nimepata kazi mpunga mrefu tu life linasonga na wenzangu kibao wapo na vichaka lands wachache waliounga bachelor!!usidanganye watu, mm nilihama civil nikahamia electrical pale ATC na soon baada ya kumaliza chuo member wote wa electrical tulipata kazi easly na rafiki zangu waliokuwa civil waliishia kukaa kitaa for a while
nαkuѕhαurí ѕσmα єlєctrícαl αnd вíσmєdícαl єngínєєríng pαlє αtc αruѕhα αu dít dѕm....hαutσjutα kuѕσmα hчσ kítu, mm nímєѕσmα cívíl lkn huwα nαtαmαn ѕαnα níngєѕσmα hчσ kítuNa wew unasomea electric hiyo hiyo
lαвdα αutσєlєctєícαl lkn ѕíσ вíσmєdícαl...вíσmєdícαl hαíjαwαhí ѕumвuα mtααní mkuuNashukuru kwa kumpa ushauri mzuri ila kwa fani ya Autoelectrcal au Biomedical ni shida mtaani zina fursa chache sana za ajira so kwa mimi nakushauri komaa na Electrical ni nzuri sanaaaa