KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,880
- 4,508
Habari za mida wadau.
Nimewahi kuleta uzi hapa nikiomba ushauri aina gani ya simu nzuri,Nashukuru nilipata mwanga wa kuelewa mambo mengi.
Baada ya kuzurula mikoani sasa nipo Dar na kesho mapema naenda k/koo kwa ajili ya kununua simu mpya.
Naombeni mnipatie ujanja wa kutambua simu fake hasa simu za Samsung (Refurbished).
Asanteni sana.
Nimewahi kuleta uzi hapa nikiomba ushauri aina gani ya simu nzuri,Nashukuru nilipata mwanga wa kuelewa mambo mengi.
Baada ya kuzurula mikoani sasa nipo Dar na kesho mapema naenda k/koo kwa ajili ya kununua simu mpya.
Naombeni mnipatie ujanja wa kutambua simu fake hasa simu za Samsung (Refurbished).
Asanteni sana.