Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Nenda YouTube andika jina la wimbo na in English lyrics.Unaitwa "Tizita" na ameimba mwanamama anaitwa Aster Aweke. Naupenda sana kwenye melody yake na unanipaisha sana. Sasa usijekuta anazungumzia kilimo au baa la njaa huko kwao nami naweka fantasy zangu.
Tizita
View attachment 2481008
😅😅😅😅😅😅 mbona anazungumzia mafuriko humo😅😅
Nimejaribu sana sijafanikiwaNenda YouTube andika jina la wimbo na in English lyrics.
Hapo unaweza kuupenda zaidi au kuuacha
Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
“inoralehu desitani āt’ichē”
Shukrani kwa kidokezo mkuu. I wish ningeupata neno kwa neno“inoralehu desitani āt’ichē”
Umefanya nimkumbuke Baba angu ndo alikua anapenda nyimbo za hivyo
“Enewei huo wimbo anazungumzia jinsi alivyotenganishwa na mpenzi wake, rafiki yake and since hapo hakuwa na furaha, she lost her happiness, she live without happiness
“My friend May our love be remembered, it should be remembered”💔
NtakutumiaShukrani kwa kidokezo mkuu. I wish ningeupata neno kwa neno
Kisha nikatazama upande wa pili na kutazama pembeniUnaitwa "Tizita" na ameimba mwanamama anaitwa Aster Aweke. Naupenda sana kwenye melody yake na unanipaisha sana. Sasa usijekuta anazungumzia kilimo au baa la njaa huko kwao nami naweka fantasy zangu.
Tizita
View attachment 2481008
Nice song. Angalau napata mwangaza sasa. 🙏Kisha nikatazama upande wa pili na kutazama pembeni
Natamani ningeishi. ninakukosa rohoni
Pembe ya macho yangu inaacha machozi
Kumbukumbu nyingi zilibaki kwangu
Rafiki yangu, mpenzi wangu
Tumesikitika sana
Nimefungwa na hamu yako
Usiku na mchana katika ndoto zako
Wakati upendo ni mfupi, huvaa moto
Kumbukumbu yangu, rafiki yangu
Upendo wetu ukumbukwe
Inapaswa kukumbukwa
BAADHI MENGINE SIJUI