Naombeni muongozo wa kupima DNA

Naombeni muongozo wa kupima DNA

But kadri ya uelewa wangu hapa Tanzania sheria haziruhusu mtu binafsi kwa mapenzi yake kupima dna. Maombi ya kupima dna huwasilishwa kwa mkemia mkuu na taasisi kama vile mahakama, jeshi la polisi, ofisi ya ustawi wa jamii nk
Ni kweli ila inategemea na circumstances, kama ni issue ya kesi ya kifamilia mara nyingine kibali kinatoka kwa Mkuu wa Wilaya na Ustawi wa jamii nafikiri
 
Maabara hizi ndo zile zile za kupimia Covid19 au. [emoji23][emoji23] kwa hapa utaambiwa tu wako ata kama sio wako, maana mapapai yalikuwa na covid19 sembuse wewe mtoto uyo. Dawa nenda Private akuna kitu kinacho shindikana ukiwa na pesa tu. Hizo zengine ni bwebwetu. [emoji41]
Ushauri mzuri, je hospital ipi inapima DNA ya private hapa Tz??
 
Anzia ustawi wa jamii mkikubaliana watawapa mwongozo. Ni rahisi tu lakini umejiandaa. Mimi nalea mmoja najua si chapa yangu na sioni shida kabisa.
Hongera kwa moyo mkuu wenye utu na hekima
 
Lazima kupima DNA ili hata kama wamepika majibu tayari itajulikana kitaalamu na kisheria kwamba mtoto ni wako........hawa wanawake akili mbovu mkipishana kauli kidogo hachelewi kukutamkia kwamba mtoto si wako, na hapo tayari umeshalea hadi kafikisha miaka 25.

Jambo jingine, mtoto lazima afanane na ndugu zake ndani ya ukoo......mtoto ambaye hana ufanano wowote na wewe au ndugu wengine ndani ya ukoo labda ndo imekupelekea kupata mashaka.

Kwa kuanzia kabla hujaenda kwenye DNA cheki magroup ya damu, la kwako wewe, la mama na la mtoto......halafu utuletee mrejesho.​
Kaka siyo kufafana kipindi cha mimba huyu mwanamke alikuwa amepanga wanaume 3 na alikuwa na kadi 3 za Clinic hospital tofauti.

Baadaye wanaume hao walifahamu wote wakamtema, sasa now ni miaka 7 tangu azae sasa anadai mwanaume mmoja ndiyo mhusika, je utakubalije kiboya hivo.
 
ya nini hayo
sisi kwetu tarime mmiliki wa mtoto ni aliyetoa mahari kwa mama yake. wengineo wakimzalimzalisha mkeo ni wanakufanya kibarua. tarime tunauliza ukifanya kibarua shambani kwa mtu mazao yanakuwa ya kibarua au ya mwenye shamba
Labda huko mna uhaba wa uzazi na kuzaliana
 
Kuna njia Moja naona ni Bora sana, nayo ni njia ya kupitia group la damu. kwangu Mimi namshauri mtu aanze na njia hii kabla ya kuingia maghalama ya DNA na tunajua majibu lazma utakua na mashaka nayo kutokana na picha tuliyojijengea.

Kwa mfano ikitokea wewe baba group lako la damu ni group A na mwanamke ni group A, hapo piga ua galagaza mtoto atadondokea kwenye magroup mawili tu nayo ni A au O. Sasa ikitokea mtoto ni group B au AB basi unajua tayari umeguswa kwenye mshono
Uko sahihi kabisa
 
1.Tukana marafiki zake was kufa na kuzikana mitusi ya nguoni.

2.Tembelea eneo la Kazi au mahali anapopenda kushinda uone mtoto anafanan na Nani eneo Hilo.

Mbinu Namba moja unalala na majibu yako haina kupoa.
Shikilia moyo tu.
Tz mtoto hakosi Baba.
#Biolab
Uko sahihi nitajaribu
 
Ni kweli ila inategemea na circumstances, kama ni issue ya kesi ya kifamilia mara nyingine kibali kinatoka kwa Mkuu wa Wilaya na Ustawi wa jamii nafikiri
Shkrna
 
Pole na majukumu wanajamvi.

Kwa mwenye uelewa na hili naomba mwongo wa hatua za kufuata kupima DNA pale unapokuwa na mashaka juu ya mtoto.

Naomba kuwasilisha
Utaratibu ni lazima uwe na mwanasheria alafu uwe na Sababu ya kufanya hivyo pia wahusika ni watatu wewe mkeo na mtoto gharama Ni kila sampuli ni laki moja hivyo jumla ni lakitatu.

Ila angalizo wanaume wengi wanalea watoto wasio wakwao na DNA ya uhakika Ni Ile ya kutuma taasisi binafsi, lakini ya serikali inamiongozo yake Kwa Sababu wanaelewa mzigo wa watoto wasio na baba watakuwa wengi serikali itaitaji kuhudumia na madhara yake Ni makubwa.
 
Kuna njia Moja naona ni Bora sana, nayo ni njia ya kupitia group la damu. kwangu Mimi namshauri mtu aanze na njia hii kabla ya kuingia maghalama ya DNA na tunajua majibu lazma utakua na mashaka nayo kutokana na picha tuliyojijengea.

Kwa mfano ikitokea wewe baba group lako la damu ni group A na mwanamke ni group A, hapo piga ua galagaza mtoto atadondokea kwenye magroup mawili tu nayo ni A au O. Sasa ikitokea mtoto ni group B au AB basi unajua tayari umeguswa kwenye mshono
Yaani unaturudisha kwenye ujima kabisa, hiyo njia yako yako ni BC. Njia pekee ya kisasa yenye uhakika 100% ni DNA pekee
 
Back
Top Bottom