Kuishi kwa kuidanganya nafsi ni mateso makubwaa sanaaa.Achana na hayo mashaka na wala huna sababu ya kufukua makaburi.
Kuishi kwa kuidanganya na kuilaghai nafsi ni MZIGO MZITO SANAA ROHONI.Wanakuja kukupa muongozo ila sikushauri kabisa utakuja kukutana na madude usielewe nn kimetokea. Ila kama unajiweza nenda kapime ila kama unajua maisha yako bila huyo mke utateseka jiachie tu fanya mambo yako.
SawaKuishi kwa kuidanganya na kuilaghai nafsi ni MZIGO MZITO SANAA ROHONI.
#YNWA
Pole na majukumu wanajamvi.
Kwa mwenye uelewa na hili naomba mwongo wa hatua za kufuata kupima DNA pale unapokuwa na mashaka juu ya mtoto.
Naomba kuwasilisha
Mkuu achana na DNA kitanda hakizai haramu...Pole na majukumu wanajamvi.
Kwa mwenye uelewa na hili naomba mwongo wa hatua za kufuata kupima DNA pale unapokuwa na mashaka juu ya mtoto.
Naomba kuwasilisha
Kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi la tarehe 30 Nov 2023 lenye kichwa Cha habari"Serikali yatoa Mwongozo wanaotaka kupima DNA"Kitanda hakizai haramu piga chini hilo wazo ila kama mamaake anazingua mkazie
Duuuh, tutegemee ndoa kuendelea kuvunjwa kwa speed ya 5GKwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi la tarehe 30 Nov 2023 lenye kichwa Cha habari"Serikali yatoa Mwongozo wanaotaka kupima DNA"
Utaratibu ni kuwa na barua kutoka either 1)Ustawi wa Jamii 2)Mwanasheria au 3) mahakama then utaipeleka ofisi ya mkemia.
Utapewa Control number ulipie 300,000.Then mambo mengine yatafuata.
tafuta mwanasheria atakupa mwongozoPole na majukumu wanajamvi.
Kwa mwenye uelewa na hili naomba mwongo wa hatua za kufuata kupima DNA pale unapokuwa na mashaka juu ya mtoto.
Naomba kuwasilisha
Ulipochomeka dude lako live hilo katikati ya mapaja hukujua kuwa waweza tia mimba mtu au kumpa au kupata ukimwi mjinga wewe?Pole na majukumu wanajamvi.
Kwa mwenye uelewa na hili naomba mwongo wa hatua za kufuata kupima DNA pale unapokuwa na mashaka juu ya mtoto.
Naomba kuwasilisha
Hii dunia ya sasa sidhani kama ni faraja kuishi na dukuduku la mtoto ambayo huna uhakika ni wako.Usijisumbue utapoteza pesa bure mwisho wa siku utaambiwa mtoto ni wako kumbe sio damu yako.
Kubali yote kitanda hakizai haramu