Habarini za jioni ndugu zangu,
Mimi ni dada nakaa Tabata Mangumi nilikuwa najishughulisha na biashara ndogondogo kwa kuendesha maisha pamoja na mme wangu wa ndoa aliekuwa anafanya biashara ya dagaa kutoa Kigoma kuja Dar kwa masikitiko makubwa miezi 6 imepita tangu mume wangu aende kuchukua dagaa Kigoma hajarudi mpaka leo na nikipiga simu anakata na kwa sasa simu haipatikani kabisaa
Ila kuna tetesi kwamba kaoa huko na biashara anafikisha Tabora na kurudi Kigoma.Vyombo vyangu vya ndani vimechukuliwa kwa sababu nilishindwa kulipa mkopo midogomidogo,kwahiyo kwa sasa sina kodi na sina pesa hata ya chakula ila kwetu ni Same mkoa wa Kilimanjaro.
Naombeni mnisaidie nauli tu ya kurudi kwetu Same na mwanangu wa miezi 8 na hata mnisaidie na sh.elfu hamsini tu nikaanzie biashara ya mahindi pale Same mjini.Mume ni mtu wa Kigoma.
Namba yangu ya simu ni 0712 319 836
Asanteni
Mimi ni dada nakaa Tabata Mangumi nilikuwa najishughulisha na biashara ndogondogo kwa kuendesha maisha pamoja na mme wangu wa ndoa aliekuwa anafanya biashara ya dagaa kutoa Kigoma kuja Dar kwa masikitiko makubwa miezi 6 imepita tangu mume wangu aende kuchukua dagaa Kigoma hajarudi mpaka leo na nikipiga simu anakata na kwa sasa simu haipatikani kabisaa
Ila kuna tetesi kwamba kaoa huko na biashara anafikisha Tabora na kurudi Kigoma.Vyombo vyangu vya ndani vimechukuliwa kwa sababu nilishindwa kulipa mkopo midogomidogo,kwahiyo kwa sasa sina kodi na sina pesa hata ya chakula ila kwetu ni Same mkoa wa Kilimanjaro.
Naombeni mnisaidie nauli tu ya kurudi kwetu Same na mwanangu wa miezi 8 na hata mnisaidie na sh.elfu hamsini tu nikaanzie biashara ya mahindi pale Same mjini.Mume ni mtu wa Kigoma.
Namba yangu ya simu ni 0712 319 836
Asanteni