Alinda
Platinum Member
- Jun 26, 2008
- 1,695
- 2,145
Umefanya jambo la uungwana sana. Huu ndio utz ambao tumekuwa tukiishi kwa Umoja, Amani, na kusaidiana kwenye shida na raha. Ubarikiwe sana kwa muda wako na utu wako
Njoo tusaidiane mwezetu kafika kumuona sisi.wengine tuko mbali, lakini tunaweza fanya kitu chochote, changamoto bado zipo tena nyingi tu..sasa swali kwako ndugu yangu manizzle wewe kama wewe kama wewe tunasaidiana katika changamoto ipi???Msaada wako pls