Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,109
- 1,265
Naendelea vizuri kiasi kwamba naweza kutoka kutafuta chochote kwa ajili ya matibabu na maisha kwa ujumla
fuata ushauri wanguNenda kwa Mwamposa ukapone,
Naendelea vizuri kiasi kwamba naweza kutoka kutafuta chochote kwa ajili ya matibabu na maisha kwa ujumla
fuata ushauri wanguNenda kwa Mwamposa ukapone,
Hebu kuwa serious basi mkuu kwenye issue nyeti.Nenda kwa Mwamposa ukapone,
Amen. Mungu akuponye kabisa.Naendelea vizuri kiasi kwamba naweza kutoka kutafuta chochote kwa ajili ya matibabu na maisha kwa ujumla
Why usiombe tena uchangiwe ?Bima ilifanya kazi ila ilipo kwisha muda wake sikuweza ku-renew kwa sababu za kifedha
Dah! Pole sanaDah huu ugonjwa nimeuguza baba yangu takribani miaka mitatu....Ukisikia ugonjwa wa kufilisika ndio huu...tena mtoa mada naona gharama zake ni ndogo caz mim nilikuwa natoa jumatatu 240k jumatano 250k na ijumaaa 240k bado sindano za insulin lakin yote heri Mungu akamchukua dec tar 3...nilikuwa na stress sio za kawaida...pole sana mkuu najua unavyoteseka kwa kwel mimi nikuombee tuu caz nimefilisika kabisaa
Amina!Amen. Mungu akuponye kabisa.
Hakuna kibarua kigumu kama kuomba.Why usiombe tena uchangiwe ?
Mungu azidi kukutetea zaidi na zaidiNaendelea vizuri kiasi kwamba naweza kutoka kutafuta chochote kwa ajili ya matibabu na maisha kwa ujumla
Hope kwa sasa unazingatia mlo ambao hauumizi figo. Low carbs and sugars. Magonjwa mengi ya figo ni matokeo ya mtindo mbaya wa maisha.Hakuna kibarua kigumu kama kuomba.
Shida zimenijaa mpaka mda mwingine inabidi ujidanganye uko fit ili kutoka kutafuta
Pole sanaDah huu ugonjwa nimeuguza baba yangu takribani miaka mitatu....Ukisikia ugonjwa wa kufilisika ndio huu...tena mtoa mada naona gharama zake ni ndogo caz mim nilikuwa natoa jumatatu 240k jumatano 250k na ijumaaa 240k bado sindano za insulin lakin yote heri Mungu akamchukua dec tar 3...nilikuwa na stress sio za kawaida...pole sana mkuu najua unavyoteseka kwa kwel mimi nikuombee tuu caz nimefilisika kabisaa
Pole....ila omba upate bima usisimame matibabu. Muone godlisen malisa akusaidie huwa naona wengi wanapata matibabu.Hakuna kibarua kigumu kama kuomba.
Shida zimenijaa mpaka mda mwingine inabidi ujidanganye uko fit ili kutoka kutafuta
Aisee anatakiwa aongeze ,000/= haraka iwezekanavyo. Maana kitu kinasoma 110,000/=!! Yaani laki 1 na elfu 10 tu. Siyo kwa nyumba hiyo aisee.Mkuu hyo bei uliyoiandika hapo ni sahihi? Basi mm ntakupa 200k