LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Ni ukweli usiopingika kwamba hizi private hospitals zinaiba sana kupitia bima za afya za wananchi...na pale mfumo wowote ukibuniwa ukaonekana kuwabana vita inakuwa kubwa sana.
Ukweli ni kwamba hospitali nyingi za binafsi survival yao inategemea NHIF. Zipo njia mbalimbali zinazotumiwa na hospitali hizi kuiba au kutengeneza biashara hivyo kuathiri maana ya bima;
1. Kutoa vipimo vingi makusudi kwa mgonjwa na kwa bei ya juu..ili mradi mtu NHIF basi kama ana homa atapimwa kifua,Uti, nk na lazima akutwe na UTI!!!
2. Mgonjwa akija na kadi ya NHIF gharama za matibabu ni tofauti na yule anayelipa cash...na hii nazungumzia out patient yaani mgonjwa wa nje.
NHIF iangalie pia wenzao wanafanyaje ili kuzuia matumizi mabaya na wizi kwa watoa huduma.
Wizara pia iletewe mapendekezo ya bei hasa kwenye upimaji na huduma mbalimbali, haiwezekani kufanya dialysis kwenye kituo kimoja itofautiane kwa zaidi ya asillmia 100.
Ukweli ni kwamba hospitali nyingi za binafsi survival yao inategemea NHIF. Zipo njia mbalimbali zinazotumiwa na hospitali hizi kuiba au kutengeneza biashara hivyo kuathiri maana ya bima;
1. Kutoa vipimo vingi makusudi kwa mgonjwa na kwa bei ya juu..ili mradi mtu NHIF basi kama ana homa atapimwa kifua,Uti, nk na lazima akutwe na UTI!!!
2. Mgonjwa akija na kadi ya NHIF gharama za matibabu ni tofauti na yule anayelipa cash...na hii nazungumzia out patient yaani mgonjwa wa nje.
NHIF iangalie pia wenzao wanafanyaje ili kuzuia matumizi mabaya na wizi kwa watoa huduma.
Wizara pia iletewe mapendekezo ya bei hasa kwenye upimaji na huduma mbalimbali, haiwezekani kufanya dialysis kwenye kituo kimoja itofautiane kwa zaidi ya asillmia 100.