Hakuna watu wajinga km wa Facebook wale wanaandika bohifurendi!!!Hiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....
Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
Naye mhuni tu huyo 😂😂Mwigulu alipokuja na mpango wa kutoza Kodi matangazo ya mtandaoni ni kukusaidia moja kwa moja mtumiaji kutoka kwa makanjanja wa mitandaoni.
Kuweka Kodi ina maaana kubwa na pana zaidi kwa sababu udhibiti unakuwepo.
Hapo ndio basi tena hakuna anayeweza kukusaidia, kubali tu yaishe.
nimecheka sana eti ofisi ni kwajili ya wafanyakazi tuh hairuhusiwi kuingia kwa sababu za kiusalama
na bado ukawapa pesa ivi umelogwa!bank zinakua na pesa kiasi gani na bado watu wanaingia hukujiuliza hilo,maduka mangapi ya uwakala yanapesa wa watu wanaingia.
SIKU NYINGINE FUNGUA MACHO
Mkuu mjini njoo na akili tu pesa utaikuta hukuhukuWakupe mkopo wako,mmalize kwa namna hiyoIla ujue mjini shule,shamba darasa
Mkuu mjini njoo na akili tu pesa utaikuta hukuhukuWakupe mkopo wako,mmalize kwa namna hiyoIla ujue mjini shule,shamba darasa
Sister hujawahi kufeli kiujumla Ni ushauri mzuri kwa watu wengine wenye uelewa mdogo kama jamaa hapoHiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....
Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
KUTANA NAMI TATIBU CHINDO, Ni mbobevu wa tiba dua na dahwa kwa wale wenye shida mbali mbali za afya na hasa kwa walio dhurumiwa ama kuibiwa na hata kwa upotevu wa mali, ni ndani ya siku tatu(3) mali yako inakua imerudi mikononi mwako.
Karibu PM kwa maelezo zaidi.
Njoo ukiwa serious.
Umeongea ukweliElfu 84 au milioni 84?. Maana usije ukakuta unalia ni elfu 84 tu?. Kama ni elfu 84 watakuja oooh...! Viwango vya uwezo vimetofautiana. Mwingine hiyo ni kubwa sana. Kama ni elfu 84 shukuru MUNGU na jipige kifua umejinasua. Umefundishwa kwa kiwango kidogo,maana ulikuwa unatafutwa 10m hapo utupie. Hiyo imekwisha ifanye umenywea bia tu na wana. Wala usiumize hata kichwa. Panga mengine
Tayari hiyoHapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Mpka Sasa nimesha FUTA na fb kwenye simu yanguu
Ukiwa na 'mentality' za kupenda mteremko, akili zinapoteaHiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....
Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
Yote Tisa shukuru umetapeliwa 84kMpka Sasa nimesha FUTA na fb kwenye simu yanguu