Education Mentor
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 395
- 695
Duh......kwel Counseling ni wito... Wokovu unafundisha watu kuwa Mwanana(kindly & humbly) hamnaga fanaticismSikio la kufa halisikii dawa. Kimbilia huko kwa muislam
Nachelea kuseme ww sio MLOKOLE kabisa ila unasali na sisi.
~Dada Mungu hadhihakiwi hata kidogo na sisemi umemdhihaki hapana maana biblia inasema viache ngano na magugu vikue pamoja ndio km hivi.
~Narudia hujaokoka huijui kweli ww!! tena ungeijua gharama ya msalaba na damu ya YESU y ungetubu mapema sana dhambii haianzii nje huanzia ndani.
~Natamani km nikuhubirie yani kuna kitu kinachemka ndani yangu si cha kawaida.najiuliza una ROHO MTAKATIFU kweli?
~Mimi ni mlokole tena kwa chimbuko dada Mungu anajibu,usisingizie wachungaji ww biblia husomi au zipo tofauti yakwako inaruhusu??
Yeremia 17:5 inajieleza wazi.panda mlimani,hata siku 3 kavu,lia kwa Mungu majibu hayapo Jf yapo magotini mama.Ita jina lipitalo majina yote.
~dada iambie damu inenayo mema kuliko damu ya habiri inene mema juu ya hilo,ingia patakatifu pa patakatifu,kisogelee kiti cha rehema kwa ujasiri.amuru mbingu iachie majibu,fungua madirisha ya hazina iliyo sitirika ohooo jamani kwa YESU raha saaana.
~Nb;MUNGU HAWI RADHI NA WAPUMBAVU.
Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
Duh......kwel Counseling ni wito... Wokovu unafundisha watu kuwa Mwanana(kindly & humbly) hamnaga fanaticism
Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Umeibariki siku yangu....watu waache kudhihaki imani za watuu na maigizo yaoNachelea kuseme ww sio MLOKOLE kabisa ila unasali na sisi.
~Dada Mungu hadhihakiwi hata kidogo na sisemi umemdhihaki hapana maana biblia inasema viache ngano na magugu vikue pamoja ndio km hivi.
~Narudia hujaokoka huijui kweli ww!! tena ungeijua gharama ya msalaba na damu ya YESU y ungetubu mapema sana dhambii haianzii nje huanzia ndani.
~Natamani km nikuhubirie yani kuna kitu kinachemka ndani yangu si cha kawaida.najiuliza una ROHO MTAKATIFU kweli?
~Mimi ni mlokole tena kwa chimbuko dada Mungu anajibu,usisingizie wachungaji ww biblia husomi au zipo tofauti yakwako inaruhusu??
Yeremia 17:5 inajieleza wazi.panda mlimani,hata siku 3 kavu,lia kwa Mungu majibu hayapo Jf yapo magotini mama.Ita jina lipitalo majina yote.
~dada iambie damu inenayo mema kuliko damu ya habiri inene mema juu ya hilo,ingia patakatifu pa patakatifu,kisogelee kiti cha rehema kwa ujasiri.amuru mbingu iachie majibu,fungua madirisha ya hazina iliyo sitirika ohooo jamani kwa YESU raha saaana.
~Nb;MUNGU HAWI RADHI NA WAPUMBAVU.
Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
kwa kweli HAPO MUHIMU BARAKA ZA WAZAI UNLESS MCHUNGAJI KAULEWA MZIGOSasa kama wazazi hawana shida.. Huyo mchungaji inamuuma nin?
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.
Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.
Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Tafuta faraja ya moyo wako. Wokovu haukuzuii kuwa na furaha. Mungu ni huyu huyu mmoja anayeabudiwa na walokole na wasio walokole. Huyo mnayemwita mchungaji sijui nabii ni miongoni mwa wahuni tu kama jinsi walivyowahuni wengine wengi wao wanacheza na akili zetu kutimiza maslahi yao. Ishi na MTU umpendaye Dada yangu. Kama ni ulokole fanya jitihada za kumfanya afuate imani yako na si vinginevyo. Wengine tumekulia kwenye ukristo na uislam na tupo mpka leo. Tena tunaishi kwa amani kuliko wale ambao wazazi wao wote ni wa mrengo mmojaWasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.
Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.
Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Aisee leo umekula maharage ya wapi?Umechanganyikiwa siyo kwa sababu ya yaliyotokea kwenye huo uchumba, umechanganyika kwa sababu hutaki kuijua kweli!!...... ukiijua kweli nayo kweli itakuweka huru!!...... Kwa kifupi tu ni kwamba hayo yaliyokukuta ni gharama(cost) ya kuokoka!!..........wewe ulifikiri kuokoka kwako hutalipa gharama(cost) yeyote??.... labda nikukumbushe tu kuwa kila jambo zuri lina cost yake!!...... Hayo yaliyokukuta ndo cost yako ya kuokoka unayopasa kuilipa kwa hiyo tulia and bear it!!
Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Kweli tupuKwanza kabisa dada weye huna dini yeyote ile. Huko kwenye ulokole uliwasindikiza rafiki zako tu. Msichana aliye okoka kamwe hawezi hata kumwangalia huyo muisilamu wako. Kwa sababu hujui hata maana ya ulokole ndo maana unasema ati wazazi hawana shida. Wewe unaolewa pamoja na wazazi wako au unaolewa kwa hao wazazi wake?? Umri wako ni chini ya miaka 8?? Usiwalete wazazi hapo.
Ninachokijua ni kuwa, kama kweli unajijua, utawasikiliza viongozi wako wa kiroho. Namhurumia huyo mchungaji kwani si ajabu kila siku ukikutana na huyo mchumba vyupi lazima vishushwe. Mwisho utaanza kutema mate halafu utauacha huo ulokole kwani kwako hauna faida.
Usiokoke ili uolewe wala usisilimu ili uolewe
Ubarikiwe sana. Nashukuru una moyo wa tofauti sana nimepata faraja. Asante sanaTHT
Sikiliza hisia zako, sikiliza kile kilichomo ndani ya moyo wako na kisha fanya maamuzi. Usijali wengine wanasema nini, heshimu maoni ya wengine lakini mwisho wa siku fanya maamuzi ambayo yametokana na wewe, na sio kwa sababu wengine wamesema hivi au vile. Wewe umekuja hapa kuomba ushauri, cha ajabu badala ya watu kukupatia ushauri, wao wanakuhukumu, wanakukejeli, wanakukasirikia, hii sio sahihi. Ukiona unawaomba watu ushauri na kisha wanahama kwenye mada na wanakutolea sana povu wewe, tambua hapo mwenye tatizo sio wewe, bali tatizo liko kwa hao watoa ushauri.
Ndoa au mahusiano ya kimapenzi hujengwa kwa misingi kwa UPENDO, na kama moyo wako umejaa upendo kwa huyo mwenza wako, na unadhani utapata furaha na amani ya moyoni, nadhani jibu unalo tayari, usiiachie nafasi hiyo inayokupatia upendo, furaha na amani.
Wanaokutisha kwamba ETI ndoa au mahusiano yatavunjika waambie kwamba dini SIO kigezo cha ndoa kuvunjika, waulize ndoa ngapi za watu wa dini moja (Wakristo na Waislamu) zimevunjika? Ndoa ngapi za wanandoa wa dini moja (Wakristo na Waislamu)zimejaa udanganyifu, ugomvi na mifarakano isiyokwisha?! Kuvunjika kwa ndoa au mahusiano ni jambo linaloweza kutokea kwa yeyote bila kujali dini yake, na hata likija kutokea huwezi kulizuia kwasababu halijalishi dini za wana ndoa, kama limepangwa kutokea, litatokea kwa sababu zingine, lakini SIO eti kwasababu ya kutofautiana kidini.
Hongera kwa ujasiri wa kuomba ushauri, natumaini utatumia vizuri ushauri unaopewa hapa ili kufanya maamuzi sahihi.
Sasa kama wazazi hawana shida.. Huyo mchungaji inamuuma nin?
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app