Si unaona kila mtu anavutia kwake wakati mpo wote tayari unawatoto hapo lazima utaambiwa chagua kubadili dini au aongeze mwingine afunge naye ndoa msala utaanzia hapo bora kabla ya uchumba kuliko mkiwa pamoja na watoto lakini jibu la mwisho unalo mwenyewe wengine washangiliaji tu mdadaHayupo aliyetayar kubadili
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisaaUngejua hizo hizo ndoa zisizo wahusu wachungaji ndiyo kila siku wanasumbuliwa na wana ndoa kesi haziishi kwa wachungaji ndiyo maana wanatoa ushauri kabla wamechoka na kesi badala ya kugegedana huko wanakimbilia makanisani kushauriwa
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu sometimes usipotumia hekima unaeeza kupoteaKuingia raha sana na rahisi kutoka mpaka mlango upatikane ulishanyooka na kukongoloka juu ni heri nusu shari kuliko shari kamili
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Fuata nafsi yako inakokutuma maana hata kama hujafunga nae ndoa kumkubali nafsini mwako ni ishara ya ndani ya ndoa kama kweli wote MNA lengo la kuwa mwili mmoja,ila usikilize ushauri wa mchungaji wako kuufanyia kazi iwe juu yako.Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.
Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.
Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Funga na kuomba kwa imani thabiti katika roho na kweli kwaajili ya hilo Mungu atakuoneshea njia iliyosahihiWasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.
Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.
Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Yupi ni wa ukweli sasa..?kia dhehebu hudai kwamba kuna mungu mmoja.
lakin miungu hao huwa defined na madhehebu hayo, so nadhani kila dhehebu lina mungu wao.
Big No!Is Religion a good Thing?
Msichana aliyeokoka hawezi hata kumuangalia muislam? acha uongo bhana mbona mi nawakaza sana watoto wa kilokole ss we kwa akili yko unadhani namkazaje bila kuniangalia usoni?Kwanza kabisa dada weye huna dini yeyote ile. Huko kwenye ulokole uliwasindikiza rafiki zako tu. Msichana aliye okoka kamwe hawezi hata kumwangalia huyo muisilamu wako. Kwa sababu hujui hata maana ya ulokole ndo maana unasema ati wazazi hawana shida. Wewe unaolewa pamoja na wazazi wako au unaolewa kwa hao wazazi wake?? Umri wako ni chini ya miaka 8?? Usiwalete wazazi hapo.
Ninachokijua ni kuwa, kama kweli unajijua, utawasikiliza viongozi wako wa kiroho. Namhurumia huyo mchungaji kwani si ajabu kila siku ukikutana na huyo mchumba vyupi lazima vishushwe. Mwisho utaanza kutema mate halafu utauacha huo ulokole kwani kwako hauna faida.
Usiokoke ili uolewe wala usisilimu ili uolewe
Yani kinachotokea sijui ni ukipofu or wat, maana unajiingiza kwenye shimo huku ukijua kabisa hautatoka salamaKweli kabsa. Bora wote muwe na imani moja hii pia itasaidia hata watoto mtakao wapata.
Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
either wote wa uongo au yupo wa ukweli lakin hakuna anaye juaYupi ni wa ukweli sasa..?
Sawa mkuu!Wewe ulinielewa mkuu
Sent from my HUAWEI Y221-U22 using JamiiForums mobile app
and thats the big problem, nyie wote hampo serious sababu umeokoka ukiwa kwenye mahusiano tayari which means ulikuwa na option ya kufuata dini ya ustaadh ila ukaona haikufai so kama mpaka hapo hujajua what to do then YOU ARE A WALKING DEAD!Hayupo aliyetayari kufata dini ya mwenzake
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app