Naombeni msaada kwenye hili

Kuchunguzwa hakuna tatizo kama uko safi tatizo ukiwa na mambo mengi hapo Sasa ukihisi au ulikua uchunguzi lazima ukuumize kichwa
 
Ulichangamka mno na Eid 🤣.,kimekulamba
 
Hapo ni smu yote imehackiwa. Kila kitu unachofanya kwenye simu yako anajua kuanzia sms, calls picha, vyote. Ila
 
Hiyo App haipo kwenye simu yangu
 
Kuhaki ninakojua mimi kwa whatssap ni mtu kuishika yeye, acount yako, akawa anai control yeye, yeye anawasiliana na rafiki zako anafanya anachokitaka.
.Sasa hii ya kuona unayafanya kwenye wasap hii siijui, na hiyo ksma ipo tutaita Spai hakha.
Kumbe asante kwa kunifahamisha mkuu
 
Uchunguzi ni Kwa ajili ya maharamia kama sio miongoni mwao uchunguzi kwanini ukuumize kichwa kwasababu watachunguza ila hawata pata kitu, so why worrying ?
Mambo mengi sana mkuu
 
Asante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…