upo nchi gani kwanza?Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Mkuu Samahani, hivi """Kubeba box""" ndo kufanyaje??? Nasikia sikia hili neno...ila sijajua lina maana gani?Mkuu, pole sana ila usikate tamaa jipange na uendelee kupiga box kwa angalau miaka mingine 5 au 10.
Je umeoa na una familia?
Kama jibu ni ndio basi ongeza kazi hiyo miaka 10 kwa ajili ya pensheni yako ya uzeeni kwenye kamradi ukirudi TZ.
Pia kama una familia na nyumba haipo, basi chukua bima ya kama Euro 200000 hivi ili iwasaidie endapo utaaga dunia.
Watoto wa kiafika huko ughaibuni wakifika miaka 16 tu wanaanza kuwakoromea wazazi wao kwa kuwahoji kwamba kwanini wao ni maskini, hiyo inauma sana maana huwezi kuchapa viboko.
Kuwa wale wazazi ambao hutumia ile fedha ya watoto ya kila wiki badala ya kuwawekea akiba.
Na kama waishi kihalali huko majuu basi angalau utakuwa umewekeza kwenye mafao yao wazungu angalau kila wiki utakuwa na mshiko kidogo.
Mimi nimeishi huko kama wewe lakini nilipofika miaka 35 nikasoma alama za nyakati na sasa nashukuru Mungu namudu maisha ya pande zote.
Nilikuwa nikirudi bongo kuangalia wapi niweke kitega uchumi na imesaidia sana.
Ila hujachelewa, piga box angalau miaka 5 kama si 10 ili upate chochote kamtaji kuweka kitega uchumi ambacho ukiamua kurudi kimoja utakuwa wasimamia wewe mwenyewe.
Kuwa twarudi nyumbani mara kwa mara kunasaidia sana kupata mawazo mbadala na yale ya kupiga boksi tuu kutwa kucha.
Hakuna unachoweza kufanya bongo kwa hiyo 1800 kama hauna lolote.....
Na kwa maelezo ya mtoa mada anataka aishi anavyoishi ughaibuni.
Kama ni mimi ningeamua nifie hapo alipo na hata wanaonijua wqsijue kisa cha kufariki kwangu.
Vipi?nimecheka khaa
Tehteh...Rebeca bhana...Labda tujifunze kwenye hili,ukiondoka maintains contact na bongo,Ila simshangai ukiwa ughaibuni na una familia halafu huna kazi proffesional ni vigumu sana kusave pesa...anyway uko ughaibuni ya wapi unialike...![]()
Vipi?
Umekuwa kakubwa hata salamu hakuna...Nakuangalia tu!
Mkuu Samahani, hivi """Kubeba box""" ndo kufanyaje??? Nasikia sikia hili neno...ila sijajua lina maana gani?
That's peanut bro,komaa tu na kuendesha madaladala huko huko.Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu



haah natak nirudi bongo na mimi sina sent tano lkn
Umekuwa kakubwa hata salamu hakuna...Nakuangalia tu!
Kwa miaka yako wewe rudi...utaolewa hata mwezi haupiti.haah natak nirudi bongo na mimi sina sent tano lkn
Labda tujifunze kwenye hili,ukiondoka maintains contact na bongo,Ila simshangai ukiwa ughaibuni na una familia halafu huna kazi proffesional ni vigumu sana kusave pesa...anyway uko ughaibuni ya wapi unialike...😊😊😊😉😉
Nafaka husababisha kisukari