Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,608
- 2,736
Sasa inakuwaje kwa muda wa miaka 26 uwe na dola 1800 tu ?, tatizo liko wapi ? maana nafahamu malipo ya huko ughaibuni huwa sio kama hapa bongo mtu analipwa mshahara wa laki 3 kwa mwezi, kama walivyosema wadau wengine hiyo dola 1800 ukifika hapa na lifestyle unayotaka utakaa nayo wiki mbili tu tena haitoshi, kwani umesema hutaki kupanda madaladala,Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Mzee uku dunia nyingine sana utateseka labda njoo directly mpaka kijijin napo uwe na uhakika wakufika unakuta nyumba kama ni ya ukoo ukae umo uanze kilimoHabari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Nemo acha dharau basi, kwa hiyo unataka kusema Form IV yake na umri wake hawezi kupata hata kazi ya Ulinzi ??.Unapozungumzia fursa, unamaanisha fursa za kibiashara , ajira, ama nini? Kama ni ajira kwani husikii ama kusoma hapa kila siku ajira hamna? Unfortuanately, hata kama zingekuwepo education na umri wako already ni tatizo. Kuhusu kutoka kibiashara, kama huna makazi tayari (nyumba yako binafsi),and a business that is already thriving I dont see how $1800 zitakufukisha popote. Hopefully, you are joking! Ama la we endelea na box tu achana na mawazo ya bongo.
Usirudi sisi watoto wa shangazi yako utatulaumu bure hatukusaidii kama saving tena huku ni 2usd kwa mwezi hapo hujaandika matibabu ambako huku huwa 100usd ninakuhakikishia kama hutapata mshauri mzuri. You will die 2 months on your arrivalKwanini watu ambao hamjawahi hata kwenda Namibia au Sri Lanka ndiyo mnajibu sana tena kwa hasira? Nani amewaambia maisha ni kufanya saving tuu bila ya kuishi? Mbona wazungu wengi hawana savings kabisa bank?
My weekly revenue and expenditure hii hii hapa.
Mshahara 500
Nyumba (3 bedroom) -115
Income Tax and social security -80
Energy Bill -22
Kula vizuri, family of 4 (siyo kula grain na mahindi) -80
Pocket money watoto wawili -30
Nauli za shule watoto wawili -18
Leisure club (swimming, hunting, etc) watoto wawili -20
Car Insurance -30
Car Fuel -35
Home broadband and Cable TV package -6
Mobile phone (parents) -12
One weekend meal out -50
Saving 2
Hapo bado kwenda sinema
Bado kupeleka watoto Disney Land
Sasa watu ambao wamishindwa kusafiri hata kwenda Msumbiji wanaleta hasira bure humu.
woo! hahah hatari sanaBora yako wewe mimi nilirudi na rasta na tattoo kutoka south
Maisha haya..!
Sasa atazipataje dola 15,000 ilhali ameshakaa ughaibuni kwa miaka 26 na anakwambia amechoka, maana yake ameshapambana kwa muda wote huo ameweza kusevu 1800 usd, utafanya aibe sasaUkiweza pambana tafuta usd 15000 kisha rudi ukishindwa kabisa usikose usd 10000
We mzee usijidanganye kurudi bongo na hiyo senti yako. Utakuwa umekaririr kwamba wabongo maskin ukadhan maisha bongo ni simple. Usidanganywe bora ubaki hukohuko ujifie kwa kuchelewa. Ukija huku utafuatiliwa na hivo vidola vyako had vipotee halafu ufe kwa stress. Pole bro.Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Alivyovimba mi nadhani kasahau sifuri moja,atakuwa kamaanisha doll elfu kumi na nane,kama ni 18k usd aje tu,ila nafaka lazima ale,nyumba apange bei nafuu aanzishe biashara awe serious amalize uzee taratibuNauli ya kurudia ni sehemu ya hiyo dola 1800? Uko nchi gani? Umeoa au ni Senior Bachelor? Hadi unafikia umri wa miaka 51 bado haujaamua utaseto wapi maisha ya uzeeni? Unafuatilia kujua mabadiliko ya dola na shilingi? Unaomba usaidiwe au anaongea kwa dhihaka? Unaaminisha kweli au umetumia lugha tata kufikisha manung'uniko yako dhidi ya current regime? Nina maswali mengi lakini naomba unijibu hayo ili nione namna ya kukushauri.
Jamaaaa anatfta kiki ....izo kauli ake mlizisoma fresh ...........Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu
Sasa atazipataje dola 15,000 ilhali ameshakaa ughaibuni kwa miaka 26 na anakwambia amechoka, maana yake ameshapambana kwa muda wote huo ameweza kusevu 1800 usd, utafanya aibe sasa
Habari wana jf.
Mimi ni mbongo ambaye nipo ughaibuni tangu 1992 na sijawahi kurudi bongo. Nilikuja huku kutafuta maisha na kusoma, lakini kutokana na gharama za maisha na gharama za elimu sikuweza kusoma. Sasa nina miaka 51 na natamani kurudi bongo. Elimu yangu ni ya form 4 ya pugu secondari 1988. Benki nina dola 1800 tuu. Jee naweza kurudi bongo na kuishi comfortably? Yaani kunywa maziwa, kulala pazuri, kutotumia madaradara kwa usafiri, kula chakula nzuri (siyo kula nafaka).
Kuna fursa gani huko kwa wazee kama mimi?
Naombeni msaada wenu