hatakayekataa kumpokea sweet lady basi ana matatizo...... Karibu Sana
umeona eeh! Ila msamehe coz ulimi hauna mfupa, atakuwa kateleza kwa bahati mbaya au jina limempagawisha nini???
Unafanya nini? naona umeamsha thread ya utambulisho ya Blaki womani, sasa sweetlady...Karib sana sweetlady, jiskie uko kempisky