Naombeni kukaribishwa jukwaani

roselyn2

Member
Jun 7, 2022
86
379
Natumai nyote mu wazima

Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha

Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza

Utaratibu uko vipi humu ndani?

Nawapenda nyote

 
Natumai nyote mu wazima

Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha

Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza

Utaratibu uko vipi humu ndani?

Nawapenda nyote

Hio minofu kwenye DP ni yako?

Anyways... karibu JF
 
Natumai nyote mu wazima

Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha

Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza

Utaratibu uko vipi humu ndani?

Nawapenda nyote

Karibu sana jukwaa la Wakubwa hapa!
 
Back
Top Bottom