Natumai nyote mu wazima
Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha
Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza
Utaratibu uko vipi humu ndani?
Nawapenda nyote
Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha
Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza
Utaratibu uko vipi humu ndani?
Nawapenda nyote