Wana jamvi wenzangu mimi ni muajiriwa ktk clinic fulani kama meneja fedha wa kituo.
Ninaomba mawazo yenu wakuu kwamba ni njia gani naweza kuitumia kuvuta wateja waje kuhitaji huduma ktk kituo chetu? Je wagonjwa ambao ni wateja wanapendelea kuhudumiwa vipi? Mawazo yenu yatanisaidia kuboresha. Natamani kufanya kwa moyo wangu wote kwa mafanikio ya ustawi wa kituo.
Naomba kuwakilisha , nishauri chochote cha kujenga.
Ninaomba mawazo yenu wakuu kwamba ni njia gani naweza kuitumia kuvuta wateja waje kuhitaji huduma ktk kituo chetu? Je wagonjwa ambao ni wateja wanapendelea kuhudumiwa vipi? Mawazo yenu yatanisaidia kuboresha. Natamani kufanya kwa moyo wangu wote kwa mafanikio ya ustawi wa kituo.
Naomba kuwakilisha , nishauri chochote cha kujenga.